• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Mwenyekiti wa Mji wa Korogwe ahimiza ukusanyaji wa mapato

Posted on: May 6th, 2022

Mwenyekiti wa Mji wa Korogwe ahimiza ukusanyaji wa mapato

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe Mhe. Francis Komba amemtaka Mkurugenzi na Wataalamu wote wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe kuongeza kasi ya ukusanyaji wa mapato kutoka vyanzo mbalimbali ili Halmashauri iweze kupata fedha za kutosha zitakazoiwezesha Halmashauri kuwahudumia Wananchi kwa ufanisi.

Mhe. Francis Komba alitoa maagizo hayo wakati wa Baraza la Madiwani la Kawaida   lililofanyika Mei 06, mwaka huu katika ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe.  Katika Baraza hilo Madiwani walikutana pamoja kwaajili ya kuwasilisha Taarifa mbalimbali za maendeleo katika Kata zao ikiwa ni hatua ya kuhitimisha kipindi cha Robo ya Tatu katika Mwaka wa Fedha 2021/22.

“Mkurugenzi na Wataalamu wote, hakikisheni mnaongeza kasi ya ukusanyaji wa mapatao ili Halmashauri iweze kupata fedha za kutosha zitakazosaidi kuwahudumia Wananchi kwa ufanisi” alisema Mhe. Francis Komba ambaye ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe na Diwani wa Kata ya Mtonga. Mhe. Komba alisisitiaza kuwa kila Mtaalamu wa Halmashauri kwa nafasi yake ahakikishe anashiriki ipasavyo katika ukusanyaji wa mapato ya Halmashauri.

“Mheshimiwa Mwnyekiti maagizo yote uliyotupatia tumeyapokea na tutayafanyia kazi” alisema Bi.Charity Sichona ambaye ni Afisa Maendeleo ya Jamii katika Halmashauri ya Mji wa Korogwe anayemuwakilisha Mkurugenzi. Bi.Charity alifafanua kuwa Halmashauri imejipanga vyema katika kuhakikisha inaelekeza nguvu zote katika ukusanyaji wa mapato ili Halmashauri iweze kuwa na  fedha za kutosha zitakazosaidia kuwahudumia Wananchi.

Katika hatua nyengine, Madiwani wameipongeza Halmashauri jinsi inavyojitahidi katika utekelezaji wa ujenzi wa miradi ya maendeleo katika sekta ya elimu na afya ikiwa ni jitihada za kuwapatia huduma Wananchi jirani na maeneo yao.  “naipongeza Halmashauri kwa ujenzi wa jengo la wagonjwa wa dharura katika Hospitali ya Mji wa Korogwe (Magunga)” alisema Mhe. Iddi Kabwele ambaye ni Diwani wa Kata ya Magunga.

“Nampongeza mwenyekiti kwa kuwahimiza Wataalamu wa Halmashauri kuongeza bidii katika ukusanyaji wa mapato, Halmashauri ikiwa na mapato ya kutosha itaweza kutatua matatizo ya Wananchi kwa haraka” alisema Bw. Abdulimajid Shemahonge ambaye ni Mwananchi wa Mji wa Korogwe aliyeshiriki katika Baraza la Madiwani la Kawaida linalohitimisha Robo ya Tatu kwa Mwaka wa Fedha 2021/22.

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Halmashauri ya Mji wa Korogwe imepokea Chanjo na Vifaa wezeshi

    July 11, 2025
  • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi Halmashauri ya Mji wa Korogwe imepokea Chanjo ya Mifugo.

    July 10, 2025
  • Mkurugenzi wa Mji wa Korogwe atembelea Ujenzi wa Miradi ya Maendeleo.

    July 10, 2025
  • Serikali yatatua Changamoto ya Makazi kwa Watumishi wa Umma

    July 04, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.