• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Mwenyekiti wa Mji wa Korogwe atembelea Miradi ya Maendeleo

Posted on: July 29th, 2024

Mwenyekiti wa Mji wa Korogwe atembelea Miradi ya Maendeleo

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe Mhe. Francis Komba akiambatana na Madiwani wa Kamati ya Fedha, Kaimu Mkurugenzi wa Mji wa Korogwe Bw. Buruhan Ngulungu pamoja na Wataalamu wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe ametembelea Miradi ya Maendeleo ili kuona hatua liyofikia. Ziara hiyo ya kutembelea Miradi ya Maendeleo ilifanyika Julai 29, Mwaka huu (2024) katika maeneo mbalimbali ya Mji wa Korogwe.

Ziara ya kutembelea Miradi ya Maendeleo katika Mji wa Korogwe ilifanyika ikiwa ni sehemu ya utekelezaji katika kuhitimisha Baraza la Madiwani katika kipindi cha Robo ya Nne katika Mwaka wa Fedha 2023 / 2024. Miradi iliyotembelewa ni pamoja na Mradi wa Upanuzi wa Dampo katika eneo la Bagamoyo, Mradi wa Ujenzi wa Matundu ya Vyoo vya Kisasa katika Shule za Msingi Bagamoyo, pamoja na Mradi wa Kuchakata Maji Taka katika eneo la Bagamoyo.

Mradi mwengine ni Kikundi cha Ufugaji Nyuki katika Mtaa wa Majengo, Mradi wa Ujenzi wa Vyumba vya Madarasa katika Shule ya Sekondari Nyerere, Mradi wa Ujenzi wa Jengo la Kituo cha Mafunzo ya Walimu (Teachers Resource Centre) katika Mtaa wa Masuguru, Mradi wa Ujenzi wa Kisima cha Maji Safi katika Mtaa wa Makwei uliotekelezwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF), pamoja na Mradi wa Kiwanda cha Matofali ya Saruji katika eneo la Bagamoyo.

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la mpiga kura kwa awamu ya pili laendelea Jimbo la Korogwe mjini

    May 17, 2025
  • Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Tanga akagua miradi ya maendeleo Halmashauri ya Mji wa Korogwe.

    May 16, 2025
  • Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Halmashauri ya Mji wa Korogwe atembelea Ujenzi wa Miradi ya maendeleo.

    May 16, 2025
  • Waandishi Wasaidizi na Waendesha Vifaa vya Bayometriki waapishwa.

    May 15, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.