• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Timu ya Kampeni ya Chanjo ya Uviko -19 yatembelea Magereza

Posted on: October 3rd, 2021

Timu ya Kampeni ya Chanjo ya Uviko -19 yatembelea Magereza 

Wafungwa kutoka  Gereza  la Wilaya ya Korogwe pamoja  na Gereza la Kwamngumi yaliyopo katika Mji wa Korogwe wamepatiwa Chanjo ya Uviko -19 ikiwa ni jitihada za Serikali kuyafikia makundi mbalimbali kwa lengo la kuwaelimisha pamoja na kuwahamasisha ili wapate  Chanjo ya Uviko -19. Zoezi la kuwapatia   Chanjo Wafungwa hao limefanyika Oktoba 03, mwaka huu ikiwa ni muendelezo wa Kampeni ya utoaji wa Chanjo ya Uviko -19 Nyumba kwa Nyumba.

“Natoa pongezi kwa Serikali kwa  kujumuisha Magereza katika mpango wa kupatiwa  Chanjo ya Uviko -19, Magereza pia ni sehemu ya mkusanyiko wa watu” alisema  SSP. Cristopher Mwenda ambaye ni Mkuu wa Gereza la Kwamngumi. SSP. Mwenda alifafanua kuwa Wafungwa ni sehemu ya jamii hivyo Timu nyingine za Wataalamu wa Afya kutoka Serikalini zinakaribishwa kutoa elimu pamoja na matibabu ya magojwa mengine.

Nae Dkt. Salma Sued ambaye ni Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe  alitoa shukrani kwa Uongozi wa Gereza la Wilaya ya Korogwe pamoja na Gereza la Kwamngumi  kwa kutoa kibali cha ruhusa ya kutoa  hamasa pamoja na Chanjo ya Uviko -19 kwa Wafungwa.   Dkt. Sued Alifafanua kuwa utamaduni wa kuwatembelea Wafungwa waliopo katika Magereza hayo utakuwa endelevu kwa lengo la kuwapatia elimu ya afya pamoja na matibabu ya magojwa mbalimbali.

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Waratibu Elimu kata na Wali Wakuu wa Shule za Msingi za Mji wa Korogwe wajengewa uwezo wa usimamizi wa ufundishaji na Ujifunzaji.

    June 27, 2025
  • Mradi wa TACTIC kuimarisha Huduma za Usafirishaji kwa Miji 12 Tanzania.

    June 26, 2025
  • Halmashauri ya Mji wa Korogwe yaadhimisha Siku ya Wajane Duniani.

    June 23, 2025
  • Shule ya Msingi Kwamngumi yalima Hekari mbili za Mahindi

    June 19, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.