• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Ujenzi wa Madarasa Shule ya Msingi Mbeza Mazoezi wasonga mbele

Posted on: May 13th, 2024

Ujenzi wa Madarasa Shule ya Msingi Mbeza Mazoezi wasonga mbele

Mpaka kufikia Mei 13, Mwaka huu (2024), Mradi wa Ujenzi wa Vyumba Viwili vya Madarasa katika Shule ya Msingi Mbeza Mazoezi, iliyopo Kata ya Manundu katika Mji wa Korogwe umefikia kwenye hatua ya Renta. Mradi huo wa Vyumba Viwili vya Madarasa unatekelezwa kwa fedha kiasi cha Shilingi Milioni Arobaini. Kiasi hicho cha fedha kilitolewa na Serikali Kuu kwa lengo la uboreshaji wa Sekta ya Elimu hapa Nchini.

Ujenzi huo wa Vyumba Viwili vya Madarasa unakwenda sambamba na Ujenzi wa Matundu ya Vyoo Ishirini na Tano. Matundu hayo Ishirini na Tano ya Vyoo yanatekelezwa kwa Kiasi cha Shilingi Milioni Ishirini na Nane. Kiasi hicho cha fedha pia kilitolewa na Serikali Kuu. Kukamilika kwa Mradi huo wa Vyumba vya Madarasa pamoja na Matundu ya Vyoo utasaidia Wanafunzi kuwa na Idadi ya kutosha ya Vyumba vya Madarsa pamoja na Matundu ya Vyoo na kupelekea Shule hiyo kuwavutia Wanafunzi wengi kujiunga na Shule hiyo.

Akizungumzia utekelezaji wa Mradi huo wa Ujenzi wa Vyumba vya Madarasa pamoja na Matundu ya Vyoo katika Shule ya Msingi Mbeza Mazoezi, Bi. Mwashabani Mrope ambaye ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe alisema “ Natoa shukrani za dhati kwa Rais Wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutupatia fedha kwa ajili ya utekelezaji wa Ujenzi wa Vyumba vya Madarasa pamoja na Matundu ya Vyoo, Kukamilika kwa Mradi huu kutasaidia uboreshaji wa Elimu katika Kata ya Manundu”.

Kwa upande mwengine, Bi. Mwashabani Mrope alitoa shukrani za dhati kwa Mhe. Rajabu Mzige ambaye ni Diwani wa Kata ya Manundu, Uongozi wa Serikali ya Mtaa wa Mbeza na Wananchi kwa ujumla kwa kushirikiana vyema na Wataalamu wa Halmshauri ya Mji wa Korogwe katika usimamizi wa Mradi ili uweze kukamilika kwa wakati. Mradi wa Ujenzi katika Shule ya Msingi Mbeza Mazoezi utekelezaji wake ulianza Mwenzi Aprili, 2024 na unatarajiwa ifikapo Mwezi Juni 2024, Mradi wote wa Ujenzi uwe umekamilika.

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Waratibu Elimu kata na Wali Wakuu wa Shule za Msingi za Mji wa Korogwe wajengewa uwezo wa usimamizi wa ufundishaji na Ujifunzaji.

    June 27, 2025
  • Mradi wa TACTIC kuimarisha Huduma za Usafirishaji kwa Miji 12 Tanzania.

    June 26, 2025
  • Halmashauri ya Mji wa Korogwe yaadhimisha Siku ya Wajane Duniani.

    June 23, 2025
  • Shule ya Msingi Kwamngumi yalima Hekari mbili za Mahindi

    June 19, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.