• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Vikundi vilivyonufaika na mikopo ya asilimia kumi vyatakiwa kurejesha mikopo kwa wakati.

Posted on: September 19th, 2025

Afisa Maendeleo ya Jamii Mkuu wa  Mkoa wa Tanga Bw. Charles James Mtali akiamabatana na Maafisa maendeleo ya Jamii kutoka Halmashauri ya Mji wa Korogwe ametembelea Vikundi vilivyonufaika na mikopo ya asilimia kumi kutoka mapato ya ndani ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha wa 2024/2025.  Matembezi hayo yalifanyika Septemba 19, 2025 (Mwaka huu) katika maeneo mbalimbali ya Halmashauri ya Mji wa Korogwe.

 Vikundi vilivyotembelewa na Afisa huyo ni kikundi cha Wanawake cha UWAMSA kinachojishughulisha na ufyatuaji wa matofali ya saruji na kiliingiziwa kiasi cha Shilingi Milioni 6,000,000. Kikundi hicho kipo  Mtaa wa Msambiazi kata ya Mtonga. Kikundi cha pili ni kikundi cha Vijana Winners Group kilichopo Mtaa wa Old Korogwe kata ya Old Korogwe Halmashauri ya Mji wa Korogwe.

Kikundi hicho  kinajishughulisha na uzalishaji wa majiko yanayotumia nishati safi Pamoja na uuzaji wa makaa ya mawe. Lengo la kikundi hicho ni kuinua  kipato na kujenga mshikamano na kina jumla ya wanachama watano , wanaume wanne na mwanamke mmoja. Kikundi hicho kiliingiziwa jumla ya fedha Shilingi Milioni 13,000,000 kutoka mapato ya ndani ya Halmashauri ya Mji wa Korogwe. Kikundi kingine kilicho tembelewa ni kikundi cha Bw. Mwanga Ntandu mwenye ulemavu wa macho anayeishi kata ya Masuguru.

Bw. Ntandu anajishughulisha na usafirishaji wa abiria kwa njia ya Bajaji aliyoipata kutokana na mkopo wa asilimia 2% ya mapato ya ndani ya Halmashauri. Bw. Ntandu aliingiziwa kiasi cha Shilingi cha Milioni 11,000,000.

Matangazo

  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • KLINIKI YA ARDHI KOROGWE MJI August 11, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI October 06, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI AZUNGUMZA NA WAFANYABIASHARA

    December 12, 2025
  • WAKUU WA IDARA NA VITENGO WATEMBELEA MIRADI

    December 11, 2025
  • WAKUU WA IDARA NA VITENGO WATEMBELEA MIRADI

    December 11, 2025
  • WAFANYABIASHARA SOKO LA MANUNDU WAFURAHISHWA NA UTENDAJI WA MKURUGENZI.

    December 01, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.