• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Vikundi vilvyonufaika na mikopo ya asilimia kumi vyatembelewa.

Posted on: September 17th, 2025

Mratibu wa Dawati la jinsia Halmashauri ya Mji wa Korogwe Bi. Herieth Sanga kwa niaba ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe Bi. Mwashabani Mrope  akiambatana na Maafisa Maendeleo ya Jamii Pamoja na Ustawi wa jamii kutoka Halmashauri  ya Mji wa Korogwe ametembelea Vikundi vilivyonufaika na mikopo ya asilimia kumi kwa mwaka wa fedha 2024/2025.Vikundi hivyo vimetembelewa leo Septemba17, 2025 (Mwaka huu) katika maeneo mbalimbali ya Halmashauri ya Mji wa Korogwe.

 Vikundi vilivyotembelewa na maafisa hao ni Pamoja na Kikundi cha Wanawake cha UWAMSA kilichopo katika Mtaa wa Msambiazi kata ya Mtonga kiliingiziwa Shilingi Milioni 6,000,000. Kikundi hicho   kinajihusisha na uzalishaji wa matofali ya sementi. Kikundi cha pili ni kikundi cha Vijana cha Kwakombokuku kinachojishughulisha na ufugaji wa kuku wa nyama na wa mayai. Kikundi hicho kiliingiziwa jumla ya Shilingi Milioni 4,000,000.

 Mwisho walimtembelea Bw. Mwanga Ntandu mwenye ulemavu wa macho anayeishi kata ya Masuguru. Bw. Ntandu anajishughulisha na usafirishaji wa abiria kwa kutumia bajaji aliyoinunua kutoka na mkopo wa asilimia 2% ya Watu wenye ulemavu kiasi cha Shilingi Milioni 11,000,000. Fedha zote zimetolewa na Halmashauri ya Mji wa Korogwe  kupitia mapato ya ndani.

Matangazo

  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • KLINIKI YA ARDHI KOROGWE MJI August 11, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Vikundi vilvyonufaika na mikopo ya asilimia kumi vyatembelewa.

    September 17, 2025
  • Halmashauri ya Mji Korogwe yakamilisha ujenzi wa Bweni Shule ya Sekondari Ngombezi

    September 16, 2025
  • Mkurugenzi wa Mji wa Korogwe akabidhi Kompyuta Mpakato kwa Idara ya Kilimo.

    September 10, 2025
  • Mkurugenzi wa Mji wa Korogwe akabidhi Kompyuta Mpakato kwa Idara ya Kilimo.

    September 10, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.