• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Viongozi wa Dini, Watendaji waunga mkono utoaji wa chanjo ya Uviko -19

Posted on: September 28th, 2021

Viongozi wa Dini, Watendaji  waunga mkono utoaji wa chanjo ya Uviko -19

Viongozi wa madhehebu mbalimbali ya Dini katika Mji wa Korogwe, Wahamasishaji wa maswala ya kijamii, Vyombo vya Habari pamoja na Watendaji wa Kata, Mitaa, na Vijiji wameiunga mkono Serikali katika  Kampeni ya utoaji wa chanjo ya Uviko -19 nyumba kwa nyumba ili kuwapatia chanjo wananchi kwa urahisi zaidi. Uungaji mkono huo waliutoa wakati wa Kikao Kazi cha maswala utoaji wa Chanjo ya Uviko -19 kilichofanyika Septemba 28, mwaka huu katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe.

Kikao Kazi hicho cha maswala ya utoaji Chanjo ya Uviko -19 kiliitishwa na Serikali kwa lengo la kutoa mafunzo ya mpango harakishi na shirikishi wa Chanjo ya Uviko -19 kwa wadau mbalimbali ili kuiunga mkono Serikali katika Kampeni ya utoaji wa Chanjo nyumba kwa nyumba itakayodumu kwa Siku Kumi na Nne, ambapo utaratibu  tayari ulishaanza tokea Septemba 22, na utamalizika Oktoba 05, mwaka huu. Baada ya Kampeni kumalizika huduma zitaendelea kutolewa kama kawaida katika Vituo vyote vya kutolea Chanjo vilivyoainishwa.

“Nyie ndio mnaoishi na wananchi kwa ukaribu zaidi, nendeni mkatusaide kuwaelimisha ili tuwapatie chanjo” alisema Dkt. Salma Sued ambaye ni Mganga Mkuu wa Halamshauri ya Mji wa Korogwe. Dkt. Sued alifafanua kuwa Chanjo ya Uviko -19 ni salama kwa matumizi ya binadamu na haina madhara yoyote hivyo Wananchi wasiwe na hofu yoyote.

“Natoa pongezi kwa waandaaji wa kikao, wametuelimisha na kutuhamasisha vyema na sisi tutakwenda kuwaelimisha Wananchi ili wajitokeze kwa wingi kupatiwa Chanjo ya Uviko -19” alisema Mzee Mohamed Dodoa ambaye ni Mhamasishaji Maarufu wa maswala ya kijamii katika Mji wa Korogwe.  Mzee Dodoa alifafanua kuwa Serikali imefanya jambo jema kuwashirikisha Viongozi wa Dini, Wahamasishaji, Vyombo ya Habari pamoja na Watendaji wa Kata, Mitaa na Vijiji kwani wao ndio wanaoishi na wananchi kwa ukaribu zaidi.

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Waratibu Elimu kata na Wali Wakuu wa Shule za Msingi za Mji wa Korogwe wajengewa uwezo wa usimamizi wa ufundishaji na Ujifunzaji.

    June 27, 2025
  • Mradi wa TACTIC kuimarisha Huduma za Usafirishaji kwa Miji 12 Tanzania.

    June 26, 2025
  • Halmashauri ya Mji wa Korogwe yaadhimisha Siku ya Wajane Duniani.

    June 23, 2025
  • Shule ya Msingi Kwamngumi yalima Hekari mbili za Mahindi

    June 19, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.