• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Wadau wa elimu Mji wa Korogwe wakutana kujadili uboreshaji wa elimu

Posted on: March 15th, 2022

Wadau wa elimu Mji wa Korogwe wakutana  kujadili  uboreshaji wa elimu

Wadau wa elimu katika Mji wa Korogwe  wamekutana katika kikao maalum kinanchofanyika kila mwaka, kikao ambacho huratibiwa na Halmashauri ya Mji wa Korogwe kwa lengo la kujadili namna ya uboreshaji wa  Sekta ya elimu katika Mji wa Korogwe. Kikao hicho kilichowakutanisha Wadau wa elimu kutoka ngazi ya Halmashauri ya Mji wa Korogwe, Taasisi Binafsi, Taasisi za Serikali pamoja na Wadau mbalimbali kilifanyika Machi 15, mwaka huu katika ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe.

“Wadau wote wa elimu tushikamane kwa dhati kwenda kuboresha elimu kwa maendeleo ya Mji wetu wa Korogwe” alisema Mhe. Francis Komba ambaye ni Diwani wa Kata ya Mtonga na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe wakati wa mkutano wa wadau wa elimu. Mhe. Komba  alifafanua zaidi kuwa ili Mji wa Korogwe uweze kusonga mbele katika Sekta ya elimu ni vyema kila mdau wa elimu kuainisha changamoto zilizopo mashuleni na kufanya majadiliano  kwa kina pamoja na kutathimini  namna gani  changamoto hizo zinaweza kutatuliwa.

Kwa upande mwengine, Wadau mbalimbali walioshiriki katika kikao hicho cha elimu walitoa mapendekezo yao kuwa ili Sekta ya elimu iweze kusonga mbele ni vyema kukaanzishwa utaratibu wa wanafunzi ukupata chakula cha mchana shuleni. Mapendekezo mengine yaliyotolewa ni pamoja utoaji wa motisha kwa walimu pamoja na wanafunzi walifanya vizuri katika masomo yao ili waweze kuongeza jitihada katika masomo.

Katika hatua nyengine, Mhe. Francis Komba ambaye ni Mwenyekiti  wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe pamoja  na Ndugu Nicodemus Bei ambaye ni  Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji  wa Korogwe walikabidhi zawadi kwa shule pamoja na wanafunzi waliofanya vizuri katika mitihadi ya kumaliza elimu ya Darasa la Saba pamoja na Kidato cha Nne  kwa mwaka 2021 kwa Shule za Serikali pamoja na Shule za Taasisi Binafsi.

Nao Walimu waliokabidhiwa zawadi kwa niaba ya Shule zao pamoja na Wanafunzi waliofanya vizuri katika mitihani ya kumaliza masomo kwa mwaka 2021 walitoa shukrani zao kwa  Uongozi wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe kwa kuwapatia zawadi na kuahidi kuwa wataongeza  bidii katika ufundishaji na pamoja na kuwahamsisha wanafuzi wasome kwa bidiii ili waweze kufanya vizuri zaidi katika mitihani ijayo.

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Waratibu Elimu kata na Wali Wakuu wa Shule za Msingi za Mji wa Korogwe wajengewa uwezo wa usimamizi wa ufundishaji na Ujifunzaji.

    June 27, 2025
  • Mradi wa TACTIC kuimarisha Huduma za Usafirishaji kwa Miji 12 Tanzania.

    June 26, 2025
  • Halmashauri ya Mji wa Korogwe yaadhimisha Siku ya Wajane Duniani.

    June 23, 2025
  • Shule ya Msingi Kwamngumi yalima Hekari mbili za Mahindi

    June 19, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.