• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Wafanyabiashara Ndogondogo, Mawakala wa Babasi wajitokeza kupata Chanjo ya Uviko -19

Posted on: September 29th, 2021

Wafanyabiashara Ndogondogo, Mawakala wa Babasi  wajitokeza kupata Chanjo ya  Uviko -19

Wafanyabiashara ndogondogo pamoja na  Mawakala wa mabasi yanayokwenda Mikoani katika Kituo cha Mabasi cha John Kijazi  kilichopo Mji wa Korogwe wamejitokeza kupatiwa Chanjo ya Uviko -19. Timu ya Kampeni ya Mpango Harakishi na Shirikishi wa Chanjo ya Uviko -19 ilitembelea Kituo cha mabasi cha John Kijazi Septemba 29, mwaka huu kwa lengo la kuwaelimisha pamoja na kuwahamasisha Wananchi wapate Chanjo ya Uviko -19.

 “Namiomba kila mmoja wetu aliyepata elimu ya umuhimu wa Chanjo ya Uviko -19 na kuelimika, aende akamuelimishe na mtu mwingine” alisema Dkt. Salma Sued ambaye ni Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe wakati akizungumza na Wafanyabiashara Ndogondogo pamoja na Mawakala wa Mabasi katika Kituo cha Mabasi cha John Kijazi. Dkt. Sued alisisitiza kwa kusema “Wananchi tujiepushe na propaganda za mitandao ya kijamii, Chanjo hii ni salama na haima madhara yoyote kwa matumizi ya binadamu”

Nae Ndugu Maurice Kinyashi ambaye ni Meneja wa Kituo cha Mabasi cha John Kijazi kilichopo Mji wa Korogwe alisema “natoa shukrani za dhati kwa Timu ya Kampeni ya Mpango Harakishi na Shirikishi wa Chanjo ya Uviko -19 kututembelea na kutupatia elimu ya chanjo, tumehamasika na tutakwenda kuwahamasisha wananchi wengine”.

Katika hatua nyengine, Timu ya Kampeni pia ilitembelea Kituo cha Mabasi cha Zamani (Stendi ya Zamani) katika Mji wa Korogwe kwa lengo la kutoa elimu pamoja na kuwahamasisha Wafanyabiashara Ndogondogo na Wananchi wote kwa ujumla wapate Chanjo ya Uviko -19.

 

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Waratibu Elimu kata na Wali Wakuu wa Shule za Msingi za Mji wa Korogwe wajengewa uwezo wa usimamizi wa ufundishaji na Ujifunzaji.

    June 27, 2025
  • Mradi wa TACTIC kuimarisha Huduma za Usafirishaji kwa Miji 12 Tanzania.

    June 26, 2025
  • Halmashauri ya Mji wa Korogwe yaadhimisha Siku ya Wajane Duniani.

    June 23, 2025
  • Shule ya Msingi Kwamngumi yalima Hekari mbili za Mahindi

    June 19, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.