• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

WALIMU WA SOMO LA JISABATI WAJENGEWA UWEZO

Posted on: November 23rd, 2025

Mafunzo ya kuwajengea uwezo walimu wa somo la Hisabati  yanaratibiwa na progranmu ya SHULE BORA( Shule ni programu ya elimu ya serikali ya Tanzania kwa ufadhili wa mfuko wa UK aid inayolenga  kuinua ubora, ushirikishwaji na mazingira salama ya kujifunzia kwa shule za msingi za serikali nchini) kwa kushirikiana na Halmashauri ya Mji Korogwe yametolewa kwa Walimu wa shule za msingi Halmashauri ya Mji Korogwe.

Mafunzo ya siku 4 ya kuwajengea uwezo walimu 41 wa somo la Hisabati yalianza  Novemba 21, 2025  na kumalizika Novemba 24,  2025, mafunzo yamefanyika shule ya msingi Boma iliyopo Kata ya Majengo Halmashauri ya Mji wa Korogwe.

Mratibu wa SHULE BORA Halmashauri ya Mji Korogwe Bi. Amina Nyangasa kwa kushirikiana na wawezeshaji (Walimu mahiri wa Hisabati) wamewezesha walimu katika mahiri mbalimbali ikiwemo mahiri ya Jometri,Aljebra,Vipimo na namna ya kutatua changamoto wanazokutana nazo walimu wa somo la Hisabati katika ufundishaji na ujifunzaji.


Aidha  Bw. LazaroThobias mwenzeshaji wa mafunzno hayo kutoka shule ya msingi Lwengera Darajani aliwawezesha walimu kufahamu namna ya uandishi wa rejea, kuandaa zana, kuandaa maazimio na maandalio ya somo. Naye Bw. Rajabu S. Mbalu mwezeshaji kutoka shule ya msingi Mgombezi aliwawezesha walimu kutumia teknolojia katika  ufundishaji na ujifunzaji wa mahiri ya Hisabati.

Mshiriki Bi. Zaina Mbuji amemshuruku Mkurugenzni wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe Bi. Zahara Msangi kwa kuruhusu mafunzo hayo kufanyika kwani katika mafunzo hayo wameweza kujifunza mambo mbalimbali yakiwemo, kuoresha ujifunzaji na ujifunzaji,kutumia mbinu na zana stahiki pamoja na kuimarisha mtazamo chanya kuhusu ujifunzaji na ufundishaji wa umahiri wa somo la Hisabati.

Matangazo

  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • KLINIKI YA ARDHI KOROGWE MJI August 11, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI October 06, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WALIMU WA SOMO LA JISABATI WAJENGEWA UWEZO

    November 23, 2025
  • MIRADI YOTE INAPASWA KUKAMILIKA KWA UBORA NA KWA MUDA ULIOPANGWA

    November 22, 2025
  • SIMAMIENI MAPATO

    November 21, 2025
  • Miradi ya Maendeleo isimamiwe

    November 21, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.