• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Wananchi wa Mji wa Korogwe wakabidhiwa hati zao za viwanja

Posted on: September 24th, 2020

Wananchi wa Mji wa Korogwe wakabidhiwa hati zao za viwanja

Halmashauri ya Mji wa Korogwe kupitia Idara ya Ardhi na Mipango Miji imekabidhi hati za viwanja takribani 107 kwa Wananchi wa Mji wa Korogwe. Hati hizo za viwanja zimetolewa Septemba 24, mwaka huu katika Ofisi za Halmashauri ya Mji wa Korogwe.

Akizungumzia mchakato huo wa hati Bi. Joanitha Kazinja ambaye ni Msajili Msaidizi wa Hati Mkoa wa Tanga alisema "kila mwananchi mwenye eneo ambalo limepimwa na  idara ya ardhi na mipango miji  na kufata taratibu zote atapatiwa hati yake ya umiliki wa ardhi". Bi.Kazinja alitoa ushauri kwa wananchi kwa kusema "wananchi mnapotaka kununua viwanja ni vyema kufika ofisi za ardhi na mipango miji kwa lengo la kuhakiki  eneo husika ili kujiepusha na matapeli".

Nae Ndugu Nyambega Kichele ambaye Afisa Ardhi Mteule Katika Halmashauri ya Mji wa Korogwe alisema "mchakato wa ugawaji wa hati za viwanja unakwenda sambamba na zoezi linaloendelea la urasimishaji wa makazi katika maeneo mbalimbali ya Mji wa Korogwe". Ndugu Kichele alifafanua kuwa hati za ardhi zilizotelewa zinahusisha viwanja vya maeneo ya Mtonga Chini, Mtonga Semkiwa, Bagamoyo Viwanja vipya pamoja na Kilole Manzese.

Kwa upande mwingine, Wananchi mbalimbali wa Mji wa Korogwe ambao wamekabidhiwa hati zao za viwanja  waliwashukuru Maafisa wa Ardhi  na Mipango Miji pamoja na Serikali kwa ujumla kwa  kuwamilikisha maeneo yao kihalali.


Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Waratibu Elimu kata na Wali Wakuu wa Shule za Msingi za Mji wa Korogwe wajengewa uwezo wa usimamizi wa ufundishaji na Ujifunzaji.

    June 27, 2025
  • Mradi wa TACTIC kuimarisha Huduma za Usafirishaji kwa Miji 12 Tanzania.

    June 26, 2025
  • Halmashauri ya Mji wa Korogwe yaadhimisha Siku ya Wajane Duniani.

    June 23, 2025
  • Shule ya Msingi Kwamngumi yalima Hekari mbili za Mahindi

    June 19, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.