• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Wanufaika wa mikopo ya asilimia kumi jiungeni na majukwaa ya kiuchumi.

Posted on: November 7th, 2025

Mratibu wa dawati la mtoto Halmashauri ya Mji wa Korogwe Bi. Amina Fundi akiambatana na wataalamu wa maendeleo ya Jamii ametembelea jukwaa la uwezeshaji wanawake kiu uchumi. Lengo kuu ya ziara hiyo ni kuwajengea uwezo wanajukwaa hao, pamoja na kutoa elimu juu ya maswala ya ukatili wa kijinsia  kwa wanajukwaa hao. Ziara hiyo ilifanyika katika kata ya Mtonga Novemba 6,2025. Bi. Amina Fundi aliendelea kusisitiza wanajukwaa hao kuandaa miradi yenye tija ili kuweza kujiinua kiuchumi.

Naye Bi. Rahma Kahelo ambaye ni mratibu wa dawati la uwezeshaji wananchi kiuchumi aliwaomba, wanawake hao kuwa chachu ya kuhamasisha na kuwa elimisha wanawake wengine kujiunga na jukwaa hilo. Vikundi vilivyotembelewa ni pamoja na kikundi cha Hekima, Women power na Kiwam vinavyojishughulisha na ufugaji wa kuku wa nyama .Kwaupande mwingine Bi. Rehema Rashidi aliishukuru Halmashauri ya Mji wa Korogwe kwa kuwapatia mikopo ya asilimia kumi yanayotokana na mapato ya ndani ya Halmashauri, kuendelea kuitoa kwani ina manufaa makubwa kwetu sisi na  kwa jamii nzima.

Mratibu wa dawati la mtoto Halmashauri ya Mji wa Korogwe Bi. Amina Fundi akiambatana na wataalamu wa maendeleo ya Jamii ametembelea jukwaa la uwezeshaji wanawake kiu uchumi. Lengo kuu ya ziara hiyo ni kuwajengea uwezo wanajukwaa hao, pamoja na kutoa elimu juu ya maswala ya ukatili wa kijinsia  kwa wanajukwaa hao. Ziara hiyo ilifanyika katika kata ya Mtonga Novemba 6,2025. Bi. Amina Fundi aliendelea kusisitiza wanajukwaa hao kuandaa miradi yenye tija ili kuweza kujiinua kiuchumi.

Naye Bi. Rahma Kahelo ambaye ni mratibu wa dawati la uwezeshaji wananchi kiuchumi aliwaomba, wanawake hao kuwa chachu ya kuhamasisha na kuwa elimisha wanawake wengine kujiunga na jukwaa hilo. Vikundi vilivyotembelewa ni pamoja na kikundi cha Hekima, Women power na Kiwam vinavyojishughulisha na ufugaji wa kuku wa nyama .Kwaupande mwingine Bi. Rehema Rashidi aliishukuru Halmashauri ya Mji wa Korogwe kwa kuwapatia mikopo ya asilimia kumi yanayotokana na mapato ya ndani ya Halmashauri, kuendelea kuitoa kwani ina manufaa makubwa kwetu sisi na  kwa jamii nzima.


Matangazo

  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • KLINIKI YA ARDHI KOROGWE MJI August 11, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI October 06, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI AZUNGUMZA NA WAFANYABIASHARA

    December 12, 2025
  • WAKUU WA IDARA NA VITENGO WATEMBELEA MIRADI

    December 11, 2025
  • WAKUU WA IDARA NA VITENGO WATEMBELEA MIRADI

    December 11, 2025
  • WAFANYABIASHARA SOKO LA MANUNDU WAFURAHISHWA NA UTENDAJI WA MKURUGENZI.

    December 01, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.