• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Wanufaika wa mkopo wa asilimia kumi watakiwa kuresha mkopo kwa wakati.

Posted on: September 25th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Mh. William Mwakilema amewataka Wananchi walionufaika na mkopo wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe unaotokana na mapato ya ndani ya asilimia kumi kurejesha  mkopo huo  kwa wakati ili  kunufaisha Wananchi wengine, pia alisisitiza kufuata sheria  za Barabarani wakati wakiendesha vyombo vya moto  ili vyombo hivyo vidumu muda mrefu.

 Mh. Mwakilema alitoa nasaha hiyo Septemba 25, 2025 katika hafla ya kukabidhi hundi ya mkopo yenye thamani ya shilingi Milioni mia moja ishirini na saba laki saba hamsini  na tano elfu mia moja kumi na tisa  na senti tisini (127,755,119.90) kwa vikundi kumi na saba (17) vya Wanawake, Vijana, na Watu wenye ulemavu katika kipindi cha robo ya Nne ya mwaka wa fedha 2024/2025.Hafla hiyo imefanyika kweye Mtaa wa Manzese  kata ya Bagamoyo Halmashauri ya Mji wa Korogwe.

Naye Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe Bi. Mwashabani Mrope alisema” kupitia utoaji wa mkopo wa asilimia kumi tumeweza kupunguza tatizo la ajira katika Halmashauri ya Mji wa Korogwe. Mikopo hii imeenda kupunguza kabisa utegemezi katika familia zao kupitia  mkopo asilimia kumi.  Kwa upande Wanawake imetengwa   asilimia 4%, Vijana asilimia 4%, Pamoja na Watu wenye ulemavu asilimia 2%, jumla inakamilsha asilimia 10% kutoka mapato ya ndani ya Halmashauri.

Matangazo

  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • KLINIKI YA ARDHI KOROGWE MJI August 11, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Halmashauri ya Mji Korogwe yaendesha zoezi la uchanjaji wa mifugo.

    October 01, 2025
  • Umaliziaji wa Vyumba viwili vya madarasa New Korogwe yafikia hatua ya upakaji rangi.

    September 26, 2025
  • Wanufaika wa mkopo wa asilimia kumi watakiwa kuresha mkopo kwa wakati.

    September 25, 2025
  • Vikundi vilvyonufaika na mikopo ya asilimia kumi vyatembelewa.

    September 18, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.