• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

WANUFAIKA WA MKOPO WAPEWA MBINU MKAKATI

Posted on: December 6th, 2025

Mratibu wa Mikopo asilimia 10 kwa wanawake, Vijana na walemavu Bi.Rahma Kahelo aongoza mafunzo ya mbinu mkakati kiuchumi kwa wanuafaika wa mikopo. Wanufaika hao wamepatiwa mafunzo ya siku tatu kuanzia Disemba 2, 2025 na kuendelea Disemba 5 Hadi 6, 2025. Mafunzo hayo ya siku tatu yametolewa katika ukumbi wa Halmashauri ya Mji Korogwe.

Wanavikundi walipatiwa mafunzo ya ujasiriamali, mbinu za utunzaji fedha, kufungua biashara na nembo za kibiashara, umuhimu wa utunzaji kumbukumbu pamoja kupambana na Rushwa. Mafunzo hayo wezeshi yatawasaidia katika nyanja mbalimbali katika miradi yao

Naye Msaidizi wa Mratibu wa mikopo asilimia 10 Halmashauri ya Mji Korogwe Bi. Blandina Mhina aliwashauri vikundi kuachana na mikopo inayopelekea kuaibishwa mitaani na kuzingatia kanuni na taratibu walizowekewa ili kujikwamua kiuchumi kupitia fedha za asilimia 10 za Mapato ya ndani na marejesho zinazotolewa na Halmashauri.

Mwenyekiti wa Wanuafaika mikopo asilimia 10 Bw. Fadhili Ally Mohammed ameishukuru Halmashauri ya Mji Korogwe kwa kuwapatia mikopo kwani itawakomboa na kustawisha familia zao na Korogwe.












  • @samia_suluhu_hassan
    @ikulu_mawasiliano
    @owm_tz
    @ortamisemi
    @urtmof
    @maendeleoyajamii
    @rc_tanga_official
    @batilda.burian
    @dc_korogwe
    @ms_rajabu
    @zahmsangi


    2w




December 7























Matangazo

  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • KLINIKI YA ARDHI KOROGWE MJI August 11, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI October 06, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI AZUNGUMZA NA WAFANYABIASHARA

    December 12, 2025
  • WAKUU WA IDARA NA VITENGO WATEMBELEA MIRADI

    December 11, 2025
  • WAKUU WA IDARA NA VITENGO WATEMBELEA MIRADI

    December 11, 2025
  • WAFANYABIASHARA SOKO LA MANUNDU WAFURAHISHWA NA UTENDAJI WA MKURUGENZI.

    December 01, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.