• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Wasimamizi wasaidizi wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa waapishwa

Posted on: September 24th, 2019

Wasimamizi wasaidizi wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa waapishwa

Wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi wa serikali  za Mitaa katika Halmashauri ya Mji wa Korogwe  wameapishwa ili kuanza rasmi zoezi la kuandikisha wapiga kura katika uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika  Novemba 24, mwaka huu.

Kiapo hiki cha uchaguzi wa serikali za mitaa kimefanyika Septemba 23 katika ukumbi  wa mikitano wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe. Katika kiapo hiki,  wasimamizi wasaidizi waliapa mbele  ya Hakimu Mkazi wa  Mahakama ya Wilaya ya Korogwe Ndugu. Musa Jonathan Ngalu ili kufanya kazi kwa kufuata kanuni na sheria za uchaguzi.

Kwa upande mwingine  msimamizi wa uchaguzi katika  Halmashauri ya Mji wa Korogwe Bwana Kasimu Kaoneka amewasihi  wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi kufanya kazi kwa weledi huku wakifuata kanuni na sheria za uchaguzi.  Kwa mujibu wa ratiba ya uchaguzi  wa serikali za mitaa zoezi la kuandikisha wapiga kura linatarajiwa kuanza  Oktoba 8, na kumalizika Oktoba 14 mwaka huu. Vituo  vitakavyotumika kuandikisha wapiga kura baadae vitatumika kuwa vituo vya kupigia kura. Vilevile wakati wa kuandikisha vituo vitafunguliwa saa mbili asubuhi na kufungwa saa kumi na mbili jioni.

Nae Afisa uchaguzi wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe Bwana Charles Mtali amewasisitiza wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi kuwa makini na ratiba  ya kuendesha mikutano ya kampeni za uchaguzi. Bwana Mtali alisema kipindi cha kufanya mikutano ya kampeni kitakuwa ni muda wa siku  saba kabla ya siku ya uchaguzi ambapo itakuwa ni Novemba 17 hadi 23 mwaka huu.

Bwana Mtali aliendelea kufafanua kuwa  kila chama  cha siasa kitakachishiriki uchaguzi kitatakiwa kuwasilisha ratiba yake ya mikutano ya kampeni ya uchaguzi kwa msimamizi wa uchaguzi si chini ya siku saba kabla ya kuanza kwa kampeni.

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Waratibu Elimu kata na Wali Wakuu wa Shule za Msingi za Mji wa Korogwe wajengewa uwezo wa usimamizi wa ufundishaji na Ujifunzaji.

    June 27, 2025
  • Mradi wa TACTIC kuimarisha Huduma za Usafirishaji kwa Miji 12 Tanzania.

    June 26, 2025
  • Halmashauri ya Mji wa Korogwe yaadhimisha Siku ya Wajane Duniani.

    June 23, 2025
  • Shule ya Msingi Kwamngumi yalima Hekari mbili za Mahindi

    June 19, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.