• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Watendaji wa Vijiji watakiwa kusaidia kutatua migogoro ya ardhi

Posted on: November 2nd, 2021

Watendaji wa Vijiji watakiwa kusaidia kutatua migogoro ya ardhi

Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Mhe. Kalist Lazaro Bukhay   amewataka Watendaji wa Vijiji kusaidia kutatua migogoro ya ardhi ili kupunguza changamoto za migogoro ya ardhi inayojitokeza katika jamii. Maelekezo hayo aliyatoa Novemba 02, mwaka huu wakati wa Kikao cha Baraza la Madiwani cha Papo kwa Papo katika Halmashauri ya Mji wa Korogwe. Kikao hicho cha Baraza la Madiwani kilifanyika kwa lengo la kuhitimisha Robo ya kwanza kwa mwaka wa fedha 2021/22.

“Migogoro midogo midogo Watendaji wanatakiwa kuitatua kabla ya kufika kwa Mkuu wa Wilaya “alisema Mhe. Kalist Lazaro Bukhay wakati wa Baraza la Madiwani lililokutanisha Madiwani, Wataalamu wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe pamoja na Kamati ya ulinzi na Usalama ya Wilaya ya Korogwe. Mhe. Bukhay alifafanua kuwa iwapo Watendaji wa Vijiji watashiriki ipasavyo katika kutatua migogoro ya ardhi  inayojitokeza katika maeneo yao watasaidia  kumaliza migogoro hiyo katika ngazi ya Vijiji.

“Maelekezo yote tumeyapokea na ninaimani kubwa Waheshimiwa Madiwani watashirikiana na Wenyeviti wa Vijiji pamoja na Watendaji wa Vijiji katika kutatua migogoro ya ardhi katika maeneo yao” alisema Mhe. Francis Komba ambaye ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe na Diwani wa Kata ya Mtonga.  Mhe. Komba alifafanua kuwa Madiwani wataendelea kushirikiana na Watendaji  wa Vijiji katika utatuzi wa migogoro ya ardhi ili kudumisha Amani na utulivu katika jamii.

“Mheshimiwa Kalist ametuonyesha dira ya utatuzi wa migogoro ya ardhi iliyopo katika jamii yetu. Viongozi iwapo watayafanyia kazi maelekezo yake, migogoro ya ardhi itapungua katika jamii” alisema Ndugu John Mapunda ambaye ni Mwananchi wa Mji wa Korogwe aliyeshiri katika Baraza la Madiwani la Papo kwa Papo kwa lengo la lufahamu shughuli mbalimbali za maendeleo zinazotekelezwa katika Halmashauri ya Mji wa Korogwe.

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Halmashauri ya Mji wa Korogwe imepokea Chanjo na Vifaa wezeshi

    July 11, 2025
  • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi Halmashauri ya Mji wa Korogwe imepokea Chanjo ya Mifugo.

    July 10, 2025
  • Mkurugenzi wa Mji wa Korogwe atembelea Ujenzi wa Miradi ya Maendeleo.

    July 10, 2025
  • Serikali yatatua Changamoto ya Makazi kwa Watumishi wa Umma

    July 04, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.