• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Wilaya ya Korogwe yazindua kampeni ya ugawaji wa vyandarua

Posted on: July 24th, 2020

Wilaya ya Korogwe yazindua kampeni ya ugawaji wa vyandarua

Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Mh. Kissa Kasongwa akiwa pamoja na Mh. Mhandisi Mwanaasha Tumbo ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Muheza amezindua Kampeni ya ugawaji wa vyandarua bila malipo. Vyandarua hivyo vitagaiwa katika Halmashauri tatu ambazo ni Halmashauri ya Mji wa Korogwe, Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe pamoja na Halmashauri ya Wilaya ya Muheza.  Uzinduzi wa kampani hiyo umefanyika Julai 24 mwaka huu katika ukumbi wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe.

Akizungumzizia mchakato huo wa ugawaji wa vyandarua Mh. Kissa Kasongwa ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Korogwe alisema “namshukuru Mh. Rais John Pombe Magufuli kwa kutuletea maendeleo katika sekta ya afya ikiwapo ugawaji vya vyandarua bila malipo kwa wananchi”. Mh. Kasongwa alifafanua kuwa ili vyandarua viweze kuwafikia walengwa waliokusudiwa lazima watakaoshiriki katika mchakato wa ugawaji wafanye kazi kwa uaminifu.  Mh. Kasongwa alisisitiza kwa kusema “wagawaji wajiepushe na kujilimbikizia vyandarua kwa manufaa binafsi”.

Nae Ndugu Kasimu Kaoneka ambayye ni Afisa Elimu Shule za Msingi katika Halmashauri ya Mji wa Korogwe anaemuakilisha Mkurugenzi alitoa shukrani kwa waandaaji wa Kampeni ya ugawaji wa vyandarua bila malipo katika Halmashauri zote tatu. Ndugu Kaoneka alitoa nasaha kwa watakaoshiriki katika Kampeni kwa kusema” kila mmoja katika eneo lake atekeleze majukumu yake ipasavyo ili kufikia malengo yaliyokusudiwa na Serikali”.

Nae Bi. Leah Ndekuka ambaye ni Afisa kutoka Wizara ya Afya katika Kitengo cha Mpango wa Taifa wa Kudhibiti Malaria alisema “Lengo la Kampeni hii ya ugawaji wa vyandarua bila malipo ni kuhakikisha kuwa vyandarua vinawafikia wananchi wengi ili kutimiza miikakati ya Serikali katika kuhakikisha  hadi kufikia mwaka 2030 ugonjwa wa Malaria tumeutokomeza hapa nchini". Bi. Leah alisisitiza kuwa Kampeni hii nimuendelezo wa Mikakati ya Wizara ya Afya katika kukakikisha inafikia Halmashauri takribani Hamsini (50) zilizopo kwenye Mikoa kumi hapa nchini”.  

Kwa upande mwingine Bi. Hilda Mgomapayo ambaye ni mwakilishi kutoka Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) alisisitiza kuwa ili Kampeni hii iweze kuwafikia wananchi kwa haraka, viongozi wa dini wana nafasi kubwa katika kuwaelimisha wananchi kuhusu matumizi sahihi ya vyandarua. Bi. Hilda alisema “nawaomba viongozi wa dini mtusaidie kufikisha ujumbe kuhusu matumizi sahihi ya vyandarua”.

Nae Dr. Heri Kilwale ambaye ni Mratibu wa Malaria kutoka Halmashauri ya Mji wa Korogwe alisema “tunatarajia Kampeni hii ya ugawaji wa vyandarua itachukua takribani wiki mbili mpaka kumalizika” Dr. Kilwale alifafanua kuwa katika Mji wa Korogwe Kampeni hii itahusisha Kata zote kumi moja. Kwaupande wa viongozo wa dini, Ndugu Abas Makamba ambaye ni Sheikh kutoka Kata ya Magoma iliyopo Wilaya ya Korogwe alisema “tunaishukuru serikali kwa kuandaa Kampeni hii ya ugawaji wa vyandarua bila malipo ili kupambana na ugonjwa wa Malaria”. 

 

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Waratibu Elimu kata na Wali Wakuu wa Shule za Msingi za Mji wa Korogwe wajengewa uwezo wa usimamizi wa ufundishaji na Ujifunzaji.

    June 27, 2025
  • Mradi wa TACTIC kuimarisha Huduma za Usafirishaji kwa Miji 12 Tanzania.

    June 26, 2025
  • Halmashauri ya Mji wa Korogwe yaadhimisha Siku ya Wajane Duniani.

    June 23, 2025
  • Shule ya Msingi Kwamngumi yalima Hekari mbili za Mahindi

    June 19, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.