• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Madiwani wa Mji wa Korogwe wapongezwa kwa utekelezaji wa Ilani ya CCM

Posted on: November 2nd, 2022

Madiwani wa Mji wa Korogwe wapongezwa kwa utekelezaji wa Ilani ya CCM

Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Mhe. Basilla Mwanukuzi ametoa pongezi kwa Madiwani wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe kwa utekelezaji  mzuri wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM). Utekelezaji huo wa Ilani ya CCM umehusisha  ushiriki wa Madiwani katika Ujenzi wa Miradi ya maendeleo  pamoja na utatuzi wa kero za Wananchi.  Pongezi hizo zimetolewa  wakati cha Kikao cha Baraza la Madiwani cha Robo ya Kwanza katika  Mwaka  wa fedha  2022/23  kilichofanyika Novemba 2, Mwaka huu katika ukumbi  wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe.

“Natoa pongezi kwa Waheshimiwa Madiwani kwa utekelezaji mzuri wa ilani ya Chama cha Mapinduzi ikiwemo ushiriki wenu katika Ujenzi wa  Miradi ya maendeleo pamoja na utatuzi wa kero za wananchi” alisema Mhe. Basilla Mwanukuzi ambanye ni Mkuu wa Wilaya ya Korogwe.  Mhe. Basilla  alifafanua kuwa ni vyema Madiwani wakashiriki katika Ujenzi wa  Miradi ya maendeleo kama vile elimu na afya  katika  kwa lengo la kuhakikisha  Wananchi wanapata huduma  za jamii  jirani na  maeneo yao.

Katika hatua nyengime, Mhe. Basilla Mwanukuzi amewataka Madiwani wa Mji  wa Korogwe kila mmoja kwa nafasi yake kushiriki katika  kuwafichua watu wote wanaojihusisha na biashara ya mihadarati katika maeneo yao  ili kunusuru vijana wasiangamie  katika uraibu  wa mihadarati  kwa kuwa  ndio tegemezi kwa ujenzi wa Taifa letu.  Mhe.Basilla alisema “Waheshimiwa Madiwani naomba tushirikiane katika kuwafichua watu wote wanaojihusisha na biashara ya madawa ya kulevya katika maeneo yetu”.

Kwa upande mwengine, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe Mhe. Francis Komba amewataka Wakuu wa Idara na Vitengo kushiriki vyema  katika ukusanyaji wa  mapato  ya Halmashauri  ili kupata fedha za kutosha  zikazotumika katika Ujezi wa Miradi mbalimbali ya maendeleo  Mhe. Komba alisema “Wakuu wa Idara na Vitengo kila mmoja kwa nafasi yake ashiriki ipasavyao katika ukusanyaji wa mapato ya Halmashauri”.

“Maagizo yote yaliyotolewa katika Baraza la Madiwani tumeyapokea na tutayafanyia kazi” alisema Bw. Nicodemus Bei ambaye ni Mkurugenzi wa Halmashuri ya Mji wa Korogwe wakati wa Kikao cha Baraza la Madiwani .  Nae  Ndugu Maurice Kinyashi ambaye ni Mwananchi wa Mji wa Korogwe aliyeshiriki katika Kikao cha Baraza la Madiwani alitoa pongenzi  kwa Baraza  hilo la Madiwani jinsi lilivojadili  kwa kina changamoto  mbalimbali zilizopo katika Jamii.

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Waratibu Elimu kata na Wali Wakuu wa Shule za Msingi za Mji wa Korogwe wajengewa uwezo wa usimamizi wa ufundishaji na Ujifunzaji.

    June 27, 2025
  • Mradi wa TACTIC kuimarisha Huduma za Usafirishaji kwa Miji 12 Tanzania.

    June 26, 2025
  • Halmashauri ya Mji wa Korogwe yaadhimisha Siku ya Wajane Duniani.

    June 23, 2025
  • Shule ya Msingi Kwamngumi yalima Hekari mbili za Mahindi

    June 19, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.