• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Mji wa Korogwe wapanda miti kuuadhimisha Miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar

Posted on: April 25th, 2023

 Mji wa Korogwe wapanda miti kuuadhimisha Miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar

Kuelekea Miaka 59 ya Maadhimisho ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ifikapo Aprili 26, Mwaka huu. Mkurugenzi wa  Halmashauri ya Mji wa Korogwe akiambatana na Watumishi wa Halmashauri hiyo, wameshiriki katika zoezi la upandaji wa Miti pamoja na Usafi wa Mazingira katika Shule ya Sekondari ya New Bagamoyo iliyopo Kata ya Bagamoyo. Zoezi hilo la upandaji wa Miti pamoja na Usafi wa Mazingira limefanyika Aprili 25, Mwaka huu.

Kauli Mbiu ya Mwaka huu; Miaka 59 ya Muungano, “Umoja na Mshikamano ndiyo Nguzo ya Kukuza Uchumi Wetu”

“Pamoja na kutekeleza agizo la upandaji Miti na Usafi wa Mazingira katika kuadhimisha miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, upandaji Miti na Usafi wa Mazingira ni zoezi tunalotekeleza kila siku na litakuwa endelevu kwa ustawi wa Mji  wetu wa Korogwe” alisema Bw. Burhani Ngulungu ambaye ni Afisa Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira katika  Halmashauri ya Mji wa Korogwe anayemwakilisha Mkurugenzi katika zoezi la upandaji wa Miti na Usafi wa Mazingira. Bw. Burhani alisisitiza kuwa jukumu la Uhifadhi na Usafi wa Mazingira sio la Serikali pekeyeke bali kila Mwananchi anapaswa kuwajibika katika zoezi hilo.

Katika Hatua Nyengine, Mkuu wa Shule ya Sekondari New Bagamoyo, Walimu na Wanafunzi  kwa ujumla walitoa shukrani kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe na Watumishi wote walioshiriki katika zoezi la upandaji wa Miti pamoja na Usafi wa Mazingira katika shule hiyo.

 

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Halmashauri ya Mji wa Korogwe imepokea Chanjo na Vifaa wezeshi

    July 11, 2025
  • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi Halmashauri ya Mji wa Korogwe imepokea Chanjo ya Mifugo.

    July 10, 2025
  • Mkurugenzi wa Mji wa Korogwe atembelea Ujenzi wa Miradi ya Maendeleo.

    July 10, 2025
  • Serikali yatatua Changamoto ya Makazi kwa Watumishi wa Umma

    July 04, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.