• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Mji wa Korogwe wapata Mradi wa ujenzi wa mfumo wa kisasa wa Maji Taka

Posted on: January 11th, 2023

Mji wa Korogwe wapata Mradi wa ujenzi wa mfumo wa kisasa wa Maji Taka

Shirika la BORDA linatarajia kutoa fedha kiasi cha Shilingi Milioni 246 kwa ajili ya Ujenzi wa Mradi wa Mfumo wa Kupokea, Kuchakata na Kutibu Maji Taka katika Halmashauri ya Mji wa Korogwe. Utekelezaji wa Ujenzi wa Mradi  huo ulitangazwa Januari 10, Mwaka huu wakati Kamati ya Mipango Miji na Mazingira wakiwa na Uongozi wa Shirika la Maji Safi na Usafi wa Mazingira Korogwe (KUWASA) ambao ndio wasimamizi wa  Ujenzi pamoja na Uendeshaji wa Mradi huo walipotembelea Kata ya Bagamoyo kwa ajili ya ukaguzi wa eneo la mradi.

“Mradi huu utakapokamilika licha ya kutunza mazingira pia utasaidia kutoa ajira  kwa Wananchi ” alisema Bw. Michael Ntulo ambaye ni Mhandisi kutoka Shirika la KUWASA ambao ndio wenye dhamana ya usimamizi wa mradi huo.  Bw. Ntulo alifafanua kuwa Ujenzi wa Mradi huo utaambatana na upatikanaji wa Gari pamoja na Guta la kubebea Maji Taka ambapo Gari na Guta hilo litatumika kubeba Maji Taka kutoka kwa Wananchi kwa gharama nafuu  ili kupunguza gharama za uchukuzi ukilinganisha na ghrama zinazotumika kwa sasa.

Akizungumzia utekelezji Mradi wa Ujenzi Mfumo wa Kisasa wa Maji Taka Katika Mji wa Korogwe Katibu Tawala wa Wilaya ya Korogwe Bi. Rahel Muhando alisema “ Ujenzi wa  Mfumo wa Kisasa wa Maji Taka katika  Mji wa Korogwe ni jambo jema na Mradi huu utakuwa na tija kwa Wananchi. Mimi natoa baraka zote kwa ajili ua utekelezi wa Mradi huu”.

“Madiwani pamoja na Wataalamu wote wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe tunatoa shukrani kwa  Shirika la BORDA kwa kutupatia Mradi wa Ujenzi wa Mfumo wa Kisasa wa Maji Taka, Mradi tumeupokea na tuko tayari kwa utekelezaji wake” alisema Mhe. Rajabu Mzige ambaye ni Diwani wa Kata ya Manundu na ndiye Mwenyekiti wa Kamati ya  Mipango Miji  na Mazingira.

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Serikali yatatua Changamoto ya Makazi kwa Watumishi wa Umma

    July 04, 2025
  • Serikali yatatua Changamoto ya Makazi kwa Watumishi wa Umma

    July 04, 2025
  • Serikali yatatua Changamoto ya Makazi kwa Watumishi wa Umma.

    July 04, 2025
  • Mwakilishi wa Mkuu wa Wilaya ameyataka mashirika yasiyo ya kiserikali kufuata Sheria na miongozo ya Serikali

    July 01, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.