• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Mkurugenzi wa Mji wa Korogwe apokea Cheti cha Shukrani kutoka Shirika la US Peace Corps Tanzania

Posted on: July 12th, 2023

Mkurugenzi wa Mji wa Korogwe apokea Cheti cha Shukrani kutoka Shirika la US Peace Corps Tanzania

Kwaniaba ya Mkurugenzi wa Shirika la US Peace Corps Tanzania Bi. Stephanie de Goes, Afisa kutoka  Shirika la US Peace Corps  Tanzania  Bw. Joel Onditi amemkabidhi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe Bw. Tito Mganwa Cheti cha Shukrani baada ya Halmashauri ya Mji wa Korogwe kuwapokea na kuishi nao vizuri Wataalamu (Volunteers) wa Nyanja mbalimbali  kutoka Nchini Marekani.  Cheti hicho cha Shukrani kilitolewa Julai 12, Mwaka huu katika Ofisi za Halmashauri ya Mji wa Korogwe.

Februari, Mwaka huu  (2023) Wataalamu (Volunteers)  Takribani Kumi na Sita  wa Nyanja mbalimbali  kutoka Nchini Marekani chini ya Shirika la US Peace Corps Tanzania,  waliwasili katika Chuo cha Ualimu Korogwe (Korogwe TTC) kwa lengo la kujifunza Lugha ya Kiswahili na Utamaduni wa Kitanzania  kwa ujumla kwa Wiki Kumi kabla ya kupelekwa katika vituo vya kazi hapa Nchini. 

“Kwaniaba ya Mkurugenzi wa Shirika la US Peace Corps Tanzania Bi. Stephanie de Goes, natoa shukrani kwa Uongozi wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe na Wananchi kwa ujumla  kwa kuwapokea na kuishi nao vizuri Wataalamu kutoka Nchini Marekani”  alisema Bw. Joel Onditi ambaye ni Afisa kutoka Shirika la US Peace Corps Tanzania  wakati akikabidhi Cheti cha Shukrani.  Bw. Joel alifafanua kuwa Shirika la US Peace Corps Tanzania litaendelea kuimarisha ushirikiano mwema baina ya Mji wa Korogwe na Shirika hilo katika kipindi chote cha Mafunzo.

“Kwaniaba ya Uongozi wa Halmashauri na Wananchi kwa jumla nitoe shukrani kwa Shirika la US Peace Corps Tanzania  kwa kutukabidhi Cheti cha Shukrani kwa kuwapokea na kuishi nao vizuri Wataalamu  kutoka Nchini Marekani” alisema Bw. Tito Mganwa ambaye ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa  Korogwe. Bw. Tito alifafanua kuwa Uongozi wa Mji wa Korogwe na Wananchi kwa ujumla ni wakarimu, wanawakaribisha  Wataalamu wengine kutoka Shirika la US Peace Corps  Tanzania kuja kujifunza mambo mbalimbali katika Mji wa Korogwe.

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Viongozi wa vyama vya siasa watakiwa kuhamasisha wananchi wajitokeze kwa wingi katika zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura kwa awamu ya pili

    May 08, 2025
  • Mratibu wa Mikopo ya 10% Halmashauri ya Mji wa Korogwe afunga Mafunzo.

    May 06, 2025
  • Vikundi 9 vilivyoidhinishiwa kupata mikopo vyapatiwa mafunzo.

    May 03, 2025
  • Mkuu wa Wilaya ya Korogwe ahimiza Ukusanyaji mapato uongezeke zaidi

    May 03, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.