• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Shule ya Sekondari Semkiwa yapata Msaada wa Kompyuta

Posted on: August 23rd, 2023

Shule ya Sekondari Semkiwa yapata Msaada wa Kompyuta

Shule ya Sekondari Semkiwa iliyopo Halmashauri ya Mji wa Korogwe imepata msaada wa Kompyuta Ishirini na Tano (25). Msaada huo wa Kompyuta umetolewa na Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) kwa ufadhili wa Taasisi ya Camara Education Tanzania. Msaada huo wa Kompyuta ulitolewa Agosti 23, Mwaka huu katika viwanja vya shule hiyo, huku Mgeni rasmi katika makabidhiano akiwa Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Mhe. Jokate Mwegelo.

Msaada wa Kompyuta hizo Ishirini na Tano (25) ni sehemu ya Kompyuta Mia Moja (100) zilizotolewa  na Mamlaka ya Elimu Tanzania kwa ufadhili wa Taasisi ya Camara Education Tanzania zikiwa na Thamani ya Shilingi Milioni Thelasini na Saba.  lengo la kutoa Msaada huo ni kuwawezesha wanafunzi kupata maarifa na ujuzi katika Tehama utakaowasaidia maishani. Wilaya nyengine zilizonufaika na Msaada huo ni Handeni, Kibaha pamoja na Mji wa Kibaha.

“Nitoe shukrani kwa Mamlaka ya Elimu Tanzania pamoja na Taasisi ya Camara Education Tanzania kwa kutupatia msaada wa Kompyuta katika Shule yetu” alisema Mhe. Jokate Mwegelo ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Korogwe na ndiye aliyekuwa Mgeni rasmi katika Makabidhiano ya Kompyuta hizo. Mhe. Jokate alifafanua kuwa Msaada wa Kompyuta hizo utawasaidi Wanafunzi kuongeza hamasa katika kujifunza Tehama Shuleni pamoja na kupata ujuzi.

Nae Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe Bw. Tito Mganwa alitoa shukrani kwa Mamlaka ya Elimu Tanzania pamoja na Taasisi ya Camara Education Tanzania kwa kutoa Msaada  wa Kompyuta katika Shule ya Sekondari Semkiwa huku akiwakaribisha kwa mara nyingine kuona ni namna gani wanaweza kusaidia  kuongeza nguvu katika ujenzi wa Miundombinu pamoja na Vifaa mbalimbali katika  maeneo  mengine ya Mji wa Korogwe.

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Waratibu Elimu kata na Wali Wakuu wa Shule za Msingi za Mji wa Korogwe wajengewa uwezo wa usimamizi wa ufundishaji na Ujifunzaji.

    June 27, 2025
  • Mradi wa TACTIC kuimarisha Huduma za Usafirishaji kwa Miji 12 Tanzania.

    June 26, 2025
  • Halmashauri ya Mji wa Korogwe yaadhimisha Siku ya Wajane Duniani.

    June 23, 2025
  • Shule ya Msingi Kwamngumi yalima Hekari mbili za Mahindi

    June 19, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.