• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Viongozi ngazi ya Taifa, Mkoa watembelea vituo vya kutolea Chanjo ya Uviko -19

Posted on: October 2nd, 2021

Viongozi ngazi ya Taifa, Mkoa  watembelea vituo vya kutolea Chanjo ya Uviko -19

Viongozi wa Uhamasishaji wa Chanjo ya Uviko -19 kutoka Ngazi ya Taifa pamoja na Mkoa wa Tanga wametembelea Vituo mbalimbali vya kutolea Chanjo ya Uviko -19 vilivyopo katika Mji wa Korogwe.  Lengo kuu la kutembelea Vituo hivyo ni kuongeza nguvu katika uelimishaji na uhamasishaji ili Wananchi wajitokeze kwa wingi katika kupata Chanjo ya Uviko -19. Ziara hiyo ya kutembelea Vituo vya kutolea Chanjo  imefanyika Oktoba 02, mwaka huu ikiwa ni muendelezo wa Kampeni ya Utoaji wa Chanjo ya Uviko -19 Nyumba kwa Nyumba.

“Chanjo ya Uviko -19 ni hiari, lakini nawaomba tumieni fursa hii kupata chanjo ili kuimarisha kinga za mili yenu” alisema Dkt.  Antoni Keya ambaye ni Mhamasishaji Ngazi ya Taifa wakati akizungumza na Wagojwa pamoja na Wataalamu wa afya wakati wa kutembeleaa Kituo cha Afya cha St. Raphael kilichopo Kijiji cha Kwamndolwa. Dkt. Keya alitoa nasaha kwa kusema kuwa Wananchi waache kusikiliza maneno ya mitaani na wasikilize ushauri kutoka kwa wataalamu wa Afya.

Katika hatua nyingine, Dkt. Keya alifafanua zaidi kuwa vita dhidi ya Ugojwa wa Uviko -19 sio jukumu la Serikali pekeyake. Jukumu hili ni la Wananchi wote wa Nchi hii hivyo itakuwa ni jambo la kizalendo Viongozi wa Dini, Wanasiasa, pamoja na Wahamasishaji wa maswala ya Kijamii  wakaunga mkono jitihada  za Serikali katika mapambano dhidi ya ugojwa  huo.

 “Achaneni na wapotoshaji wasiokuwa na nia njema katika Taifa hili (Tanzania), Chanjo ya Uviko -19 ni salama na haina shaka lolote” alisema Ndugu Jumanne Magoma ambaye ni Afisa Afya Mkuu Mkoa wa Tanga na Mhamasishaji wa Chanjo ya Uviko -19 Ngazi ya Mkoa wakati akizungumza na Vijana wanaojihusisha  na Kilimo cha mpunga wakati wa kutembelea Kituo cha kutolea Chanjo ya Uviko -19 kilichopo Kijiji cha Mahenge.

Kwa upande mwengine, Ndugu Nasoro Sabuni ambaye ni Mwananchi wa Kijiji cha Mahenge alisema “changamoto kubwa inayosabibisha vijana kukataa kuchanja ni maneno ya mitandaoni, Serikali mmefanya jambo zuri kututembelea pamoja na kutuelimisha na sisi tutawaelimisha watu wengine”. Nae  Dkt. Salma Sued,  ambaye ni Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe alitoa shukrani kwa Viongozi kutoka Ngazi ya Taifa na Mkoa kwa kutembelea Mji wa Korogwe kwa lengo la  kuongeza nguvu katika uhamasishaji wa Chanjo ya Uviko -19.

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Waratibu Elimu kata na Wali Wakuu wa Shule za Msingi za Mji wa Korogwe wajengewa uwezo wa usimamizi wa ufundishaji na Ujifunzaji.

    June 27, 2025
  • Mradi wa TACTIC kuimarisha Huduma za Usafirishaji kwa Miji 12 Tanzania.

    June 26, 2025
  • Halmashauri ya Mji wa Korogwe yaadhimisha Siku ya Wajane Duniani.

    June 23, 2025
  • Shule ya Msingi Kwamngumi yalima Hekari mbili za Mahindi

    June 19, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.