• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Viongozi wa dini, siasa watakiwa kuhamasisha wananchi wajitokeze kwa wingi katika zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura

Posted on: February 5th, 2025

Viongozi wa dini, siasa watakiwa kuhamasisha wananchi wajitokeze kwa wingi katika zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura

Afisa Mwandikishaji Msaidizi wa Jimbo la Korogwe Mjini Bw. Elinlaa Kivaya amewataka viongozi wa Dini pamoja na Viongozi wa Siasa kuhamasisha Wananchi wajitokeze kwa wingi katika zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Mwezi Oktoba, Mwaka huu (2025). Bw. Kivaya alitoa kauli hiyo wakati wa Kikao cha siku moja kilichokutanisha wadau mbalimbali kwa lengo la kujadili namna ya uboreshaji wa daftari la wapiga kura katika Jimbo la Korogwe Mjini. Kikao hicho kilifanyika Februari 5, Mwaka huu (2025) katika Ukumbi wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe.

Zoezi la uboreshaji wa dafatari la wapiga kura katika Jimbo la Korogwe Mjini linatarajiwa kuanza Februari 13, na litakamilika Februari 19 Mwaka huu (2025). Vituo vyote vitafunguliwa kuanzia Saa 2: 00 Asubuhi na vitafungwa Saa 12:00 Jioni.

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Mratibu wa Mikopo ya 10% Halmashauri ya Mji wa Korogwe afunga Mafunzo.

    May 06, 2025
  • Vikundi 9 vilivyoidhinishiwa kupata mikopo vyapatiwa mafunzo.

    May 03, 2025
  • Mkuu wa Wilaya ya Korogwe ahimiza Ukusanyaji mapato uongezeke zaidi

    May 03, 2025
  • Watumishi wa Serikali wametakiwa kufanya kazi kwa Nidhamu, Maadili na Utu.

    May 02, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.