• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Wafanyakazi wa Viwandani wajitokeza kwa wingi kupata Chanjo ya Uviko -19

Posted on: October 1st, 2021

Wafanyakazi wa Viwandani wajitokeza kwa wingi kupata Chanjo ya Uviko -19

Wafanyakazi kutoka Kiwanda cha Winafr Co. Ltd pamoja na Kiwanda cha  Cyreka East Africa Dev. Co. Ltd  vinavyojihusisha na uchakataji wa nyuzi za mkonge vilivyopo Mji wa Korogwe wamejitokea kwa wingi kupata Chanjo ya Uviko -19 ili kuimarisha kinga za mwili na ziweze kupambana na Ugonjwa kwa Uviko -19.

 Mwitikio huo wa  Wafanyakazi kujitokeza kwa wingi kupata Chanjo umetokana na Timu ya Kampeni ya Mpango Harakishi na Shirikishi wa Chanjo ya Uviko -19  kuwatembelea Wafanyakazi wa Viwandani na Uongozi kwa ujumla kwa lengo la kuwaelimisha na kuwahamasisha ili waweze kupata  Chanjo. Timu ya Kampeni ya Chanjo ilitembelea Viwandani kwa Siku Mbili mfululizo kuanzia Septemba 30 hadi Oktoba 01, mwaka huu ikiwa ni muendelezo wa Kampeni ya utoaji wa Chanjo ya Uviko -19 Nyumba kwa Nyumba.

“Pamoja na changamoto ndogondogo za hofu walizokuwa nazo Wafanyakazi lakini muitikio wao wa kupata channjo ni mkubwa” alisema Ndugu Jumanne Huruka ambaye Afisa Afya katika Halmashauri ya Mji wa Korogwe na  ndie Kiongozi wa Timu ya Kampeni ya Uviko -19 Viwandani. Ndugu Huruka alifafanua kuwa hofu walizonazo Wafanyakazi ni maneno ya mtaani ambayo hayana ukweli wowote.  Ndugu Huruka aliendelea kufafanua kwa msisitizo na kusema “Chanjo ya Uviko -19 ni salama kabisa na haina athari yoyote katika mwili wa mwanadamu”

“Natoa wito kwa vijana wenzangu wajitokeze kwa wingi kupata Chanjo, Chanjo hii ni kama Chanjo nyengine haina maumivu wakati wa kuchanja kama wanavyohisi” alisema Ndugu Msafiri Masudi akiwa na furaha kubwa baada ya kupata Chanjo ya Uviko -19. Katika hatua nyengine, Ndugu Masudi alitoa shukrani kwa Timu ya Kampeni ya Chanjo kwa kuwapatia elimu ya kutosha Wafanyakazi wa Viwandani juu ya umuhimu wa Chanjo ya Uviko -19 hadi  wakahamasika na kuamua kuchanja.

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Halmashauri ya Mji wa Korogwe imepokea Chanjo na Vifaa wezeshi

    July 11, 2025
  • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi Halmashauri ya Mji wa Korogwe imepokea Chanjo ya Mifugo.

    July 10, 2025
  • Mkurugenzi wa Mji wa Korogwe atembelea Ujenzi wa Miradi ya Maendeleo.

    July 10, 2025
  • Serikali yatatua Changamoto ya Makazi kwa Watumishi wa Umma

    July 04, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.