• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Wanafunzi 19,417 wanatarajiwa kupatiwa kingatiba ya ugojwa wa minyoo na kichocho

Posted on: November 19th, 2022

Wanafunzi 19,417 wanatarajiwa kupatiwa kingatiba ya ugojwa wa minyoo na kichocho

Halmashauri ya Mji wa Korogwe chini ya Mpango wa Taifa wa Magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele  inatarajia Novemba 22 hadi 23, Mwaka huu kutoa Kingatiba za ugojwa wa Minyoo na Kichocho kwa Wanafuzi wa Shule za Msingi takribani  19,417. Idadi hiyo ya Wananfunzi itahusisha  Wanafunzi  wenye  umri kuanzia  miaka Mitano  hadi  Kumi na Nne kutoka  Shule za Msingi 35 za  Serikalini pamoja na  Binafsi. Mpango huo wa utoaji wa Kingatiba ulitangazwa wakati wa Kikao Kazi cha Wataalamu wa afya kilichofanyika Novemba 19, Mwaka huu katika ukumbi wa Mikutano wa Hospitali ya Mji wa Korogwe (Magunga).

 “Serikali imejipanga vyema kuhakikisha ugojwa wa Minyoo na Kichocho unapungua au kutokomezwa kabisa katika shule za msingi hapa nchini” alisema Bi. Florence Makunda  ambaye ni Mfamasia na  Mratibu  wa  utoaji Kingatiba za ugojwa wa Minyoo na Kichocho kutoka Wizara ya Afya. Bi. Florence asisitiza kuwa suala la uhamasishaji wa unywaji wa Kingatiba (Dawa)  kwa Wanafunzi sio la Serikali pekeyake, bali  Wazazi na Walezi pia wanatakiwa kuunga  mkono jitihada za Serikali ikiwa ni pamoja na kuhakikisha Wanafunzi wote wamekwenda shule siku ya utoaji Kingatiba.

“Kingatiba zitakazotolewa kwa Wanafunzi ni salama na hazina madhara yoyote” alisema Bi. Veronica Joseph ambaye ni Mratibu wa Magojwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele katika Halmashauri ya Mji wa Korogwe aliyemuakilisha Mkurugenzi katika Kikao Kazi cha Wataalamu wa afya. Bi, Veronica alifafanua kuwa Kingatiba zitakazotolewa kwa Wanafunzi shuleni ni pamoja na Albendazole na Praziquantel. Nae Bw. Aseri Mshana  ambaye ni Muakilishi kutoka Idara ya  Elimu  ya  Awali na Msingi Katika Halmashauri ya Mji wa Korogwe alisema “Walimu wako tayari kwa utekelezaji wa  zoezi la utoaji wa kingatiba kwa Wanafuzi”.

 

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Waratibu Elimu kata na Wali Wakuu wa Shule za Msingi za Mji wa Korogwe wajengewa uwezo wa usimamizi wa ufundishaji na Ujifunzaji.

    June 27, 2025
  • Mradi wa TACTIC kuimarisha Huduma za Usafirishaji kwa Miji 12 Tanzania.

    June 26, 2025
  • Halmashauri ya Mji wa Korogwe yaadhimisha Siku ya Wajane Duniani.

    June 23, 2025
  • Shule ya Msingi Kwamngumi yalima Hekari mbili za Mahindi

    June 19, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.