• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Wilaya ya Korogwe yaadhimisha Siku ya Wanawake Duniani.

Posted on: March 6th, 2025

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe Bi. Mwashabani Mrope ndiye aliyekuwa Mgeni rasmi kwenye maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani Bi. Mwashabani Mrope amewataka Wanawake wa Wilaya ya Korogwe kujitokeza kwa wingi kuania nafasi mbalimbali za uongozi hasa tunapoelekea kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba mwaka huu (2025) pia Wanawake mnapaswa kuchangamkia fursa za Mikopo ya Asilimia 10% inayotolewa na Halmashauri. Kauli hiyo aliitoa Bi. Mwashabani Mrope kwenye Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani Machi 05, 2025 kwenye Viwanja vya Shule ya Msingi Makuyuni iliyopo kata ya Makuyuni Wilaya ya Korogwe

Kwaupande mwingine Bi. Mwashabani Mrope alifafanunua kuwa Maadhimisho hayo yalete matokeo Chanya kwa kumwiinua Mwanamke kiuchumi na kuondokana na kasumba ya kuwa tegemezi katika Familia, Vilevile alieleza pawe na usawa wa Madaraka kati ya Wanaume na Wanawake kama kauli mbiu ya mwaka huu isemavyo “Wanawake, Wasichana 2025, Tuimarishe Haki,Usawa na Uwezeshaji”. Maadhimisho ya Siku ya Wanawake kitaifa yanatarajia kufanyika Mkoani Arusha Machi 08, 2025 na katika Mkoa wa Tanga maadhimisho yanatarajia kufanyika Halmashauri ya Mji wa Handeni Machi 06 ,2025.

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Mratibu wa Mikopo ya 10% Halmashauri ya Mji wa Korogwe afunga Mafunzo.

    May 06, 2025
  • Vikundi 9 vilivyoidhinishiwa kupata mikopo vyapatiwa mafunzo.

    May 03, 2025
  • Mkuu wa Wilaya ya Korogwe ahimiza Ukusanyaji mapato uongezeke zaidi

    May 03, 2025
  • Watumishi wa Serikali wametakiwa kufanya kazi kwa Nidhamu, Maadili na Utu.

    May 02, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.