• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Brac Tanzania yatoa msada katika Mji wa Korogwe

Posted on: July 17th, 2020

Brac Tanzania yatoa msada katika Mji wa Korogwe

Taasisi ya Brac Tanzania imetoa msada wa vifaa vya kunawia mikono kwaajili ya Shule zilizopo katika Halmashauri ya Mji wa Korogwe ikiwa ni jitihada ya kuiunga mkono Serikali katika ya mapambano ya ugonjwa wa Corona (Covid - 19).

Vifaa vilivyotolewa na Taasisi hiyo vina thamani ya Shilingi milioni mbili, laki mbili na elfu ishirini. Vifaa hivyo ni pamoja na matanki kumi na mbili (12) yaliyofungwa kwenye meza maalumu pamoja na vitakasa mikono (sanitaiza). Makabidhiano ya vifaa hivyo yamefanyika Julai 17, mwaka huu katika ofisi za Halmashauri ya Mji wa Korogwe.

Akizungunzia msada huo Mkurugenzi wa Brac Tanzania Ndugu Kafwew Fordison alisema “tumeguswa na jitihada ya Serikali katika mapambano ya ugonjwa wa Corona (Covid - 19) na sisi tumeona ni muda muafaka kuungana na jitihada hizi kwa kutoa vifaa vya kunawia mikono katika shule”. Ndugu Fordison alifafanua kuwa msada huo waliotoa ni muendelezo wa ugawaji wa vifaa vya kunawia mikono kwaajili ya shule zilizopo katika mikoa mbalimbali hapa nchini.

Nae Dr. Fortunata Silayo anayemuakailisha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe alisema “tunatoa shukrani kwa Taasisi ya Brac Tanzania kwa kutupatia vifaa vya kunawia mikono katika shule zetu ikiwa ni jitihada za kupambana na ugonjwa wa Corona (Covid - 19).

Kwa upande mwingine Ndugu Kasimu Kaoneka ambae ni Afisa Elimu Shule za Msingi katika Halmashauri ya Mji wa Korogwe alisema “vifaa mlivyotupatia vitasaidia katika mapambano ya ugonjwa wa Corona (Covid – 19) na vilevile kuwa sehemu ya somo la usafisishaji wa mikono kwa wanafunzi”.  Ndugu Kaoneka alifafanua kuwa vifaa hivi vitagaiwa katika shule za msingi takribani kumi na mbili.

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Mwakilishi wa Mkuu wa Wilaya ameyataka mashirika yasiyo ya kiserikali kufuata Sheria na miongozo ya Serikali

    July 01, 2025
  • Waratibu Elimu kata na Wali Wakuu wa Shule za Msingi za Mji wa Korogwe wajengewa uwezo wa usimamizi wa ufundishaji na Ujifunzaji.

    June 27, 2025
  • Mradi wa TACTIC kuimarisha Huduma za Usafirishaji kwa Miji 12 Tanzania.

    June 26, 2025
  • Halmashauri ya Mji wa Korogwe yaadhimisha Siku ya Wajane Duniani.

    June 23, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.