• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Dkt. Kimea: Madiwani wahimizeni Wananchi wakapate Chanjo

Posted on: September 29th, 2021

Dkt. Kimea: Madiwani wahimizeni Wananchi wakapate Chanjo

Mbunge wa Jimbo la Korogwe Mjini Mhe. Dkt. Alfred Kimea amewashauri Madiwani wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe kuwahimiza Wananchi wajitokeze kwa wingi wapate chanjo ya Uviko -19 kwa lengo la kuimarisha kinga ya mwili ili iweze kupambana na ugonjwa wa Uviko -19. Kauli hiyo aliitoa Septemba 29, mwaka huu wakati wa kikao maalimu cha kujadili na kubadilishana mawazo juu ya utoaji wa Chanjo ya Uviko -19 katika Mji wa Korogwe.

 “Waheshimiwa Madiwani namishauri muwahimize Wananchi wakapate Chanjo ya Uviko -19 alisema Mhe. Dkt. Alfred Kimea wakati wa kikao maalumu cha kujadili na kubadilishana mawazo juu ya utoaji wa Chanjo ya Uviko -19 kwa Wananchi wa Mji wa Korogwe.  Mhe. Dkt. Kimea alifafanua kuwa Chanjo ya Uviko -19 ni jambo la hiari lakini kutokana ni Kampeni ya Kitaifa na yenye manufaa ni vyema Madiwani wakaunga  mkono jitihada za Mama (Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania).

Nae Mhe. Neema King’oso ambaye ni Kaimu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe alitoa ushauri kwa Timu ya Kampeni ya Mpango Harakishi na Shirikishi wa Chanjo ya Uviko -19 kwa kusema “tumie muda mwingi katika kuwaelimisha na kuwahamasisha  wananchi kuliko kuwalazimisha”. Mhe. King’oso alifafanua kuwa iwapo Mwananchi mmoja alielimishwa na kuhamasika vizuri, atasaidia kwenda   kuwaelimisha  Wananchi mwengine na kulifanya zoezi la  kutoa Chanjo kuwa jepesi.

“Chanjo ya Uviko -19 ya Janssen Janssen ni salama na haina madhara yoyote kwa matumizi ya binadamu” alisema Dkt. Salma Sued wakati akitoa ufafanuzi kwa Madiawani kuhusu aina ya Chanjo itakayotolewa kwa Wananchi wa Mji wa Korogwe.  Dkt. Sued alifafanua kuwa katika Mji wa Korogwe kuna Vituo Kumi na Tatu (13) vya kutolea Chanjo. Na baada ya Kampeni ya utoaji wa Chanjo kumalizika, Vituo vilivyoteuliwa vitaendelea kutoa Chanjo kama kawaida.

Kuhusu idadi ya Chanjo zilizotolewa katika Mji wa Korogwe, Dkt. Sued alifafanua kuwa Mji wa Korogwe ulipatiwa Chanjo kiasi cha Elfu Mbili na Mia Moja (2100) na hadi kufikia Septemba 29, mwaka huu tayari  Watu Elfu Moja na Tisini na Saba (1097)  wameshapatiwa Chanjo.

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Waratibu Elimu kata na Wali Wakuu wa Shule za Msingi za Mji wa Korogwe wajengewa uwezo wa usimamizi wa ufundishaji na Ujifunzaji.

    June 27, 2025
  • Mradi wa TACTIC kuimarisha Huduma za Usafirishaji kwa Miji 12 Tanzania.

    June 26, 2025
  • Halmashauri ya Mji wa Korogwe yaadhimisha Siku ya Wajane Duniani.

    June 23, 2025
  • Shule ya Msingi Kwamngumi yalima Hekari mbili za Mahindi

    June 19, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.