• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Halmashauri ya Mji wa Korogwe yaadhimisha siku ya wazee duniani

Posted on: October 2nd, 2019


Halmashauri ya Mji wa Korogwe imeadhimisha siku ya wazee duniani, ambapo jamii hutambua na kuhamasisha, kulinda na kutetea haki za wazee duniani kote. Maadhimisho haya  huadhimishwa Oktoba mosi ya kila mwaka, huku Kiwilaya yakiadhimishwa katika ukumbi wa mikutano katika Halmashauri ya Mji wa Korogwe.

Katika maadhimisho haya mgeni rasmi alikua Mh. Kissagwakisa  Kasongwa Mkuu wa Wilaya ya Korogwe. Katika  hotuba yake kwa wazee Mh. Kasongwa ametoa rai kwa watumishi wa umma kuwathamini na kuwasaidia wazee hasa kuwapatia huduma bora katika vituo vya afya.  Ameongeza kuwa  mtumishi yeyote ambaye  atashindwa kuwahudumia wazee  wanapohitaji huduma mbalimbali ni bora akatafuta kazi binafsi.

Maadhimisho haya huwa yanabeba Kauli Mbiu yenye ujumbe unaogusa jamii katika kuwaenzi na kuwadhamini wazee. Kauli Mbiu ya mwaka huu inasema “Tuimarishe usawa kuelekea maisha ya uzeeni, uzee na kuzeeka hakuepukiki”. Katika maadhimisho haya pia mashirika binafsi yalishiriki katika kuungana na wazee duniani kote likiwemo shirika la Afriwag likingozwa na Bi. Magreth Ruhinda.

Katika risala  iliyosomwa na Bwana Mtofi Hassan kwa mgeni rasmi kwa niaba ya wazee wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe, wazee wameipongeza serikali  kwa kuendelea kutambua changamoto mbalimbali wanazokabiliana nazo ikiwemo huhuma za afya kwa ujumla. Kwa upande mwingine Bi. Halima Saidi ambaye ameshiriki katika siku hii ya wazee duniani amesema kuwepo kwa siku hii ni kuonyesha kuwa wao kama wazee bado wanathaminiwa katika jamii.

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Waratibu Elimu kata na Wali Wakuu wa Shule za Msingi za Mji wa Korogwe wajengewa uwezo wa usimamizi wa ufundishaji na Ujifunzaji.

    June 27, 2025
  • Mradi wa TACTIC kuimarisha Huduma za Usafirishaji kwa Miji 12 Tanzania.

    June 26, 2025
  • Halmashauri ya Mji wa Korogwe yaadhimisha Siku ya Wajane Duniani.

    June 23, 2025
  • Shule ya Msingi Kwamngumi yalima Hekari mbili za Mahindi

    June 19, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.