• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Mji wa Korogwe kufanya kampeni ya chanjo ya Uviko-19 nyumba kwa nyumba

Posted on: September 27th, 2021

Mji wa Korogwe kufanya kampeni ya chanjo ya Uviko-19 nyumba kwa nyumba

Halmashauri ya Mji wa Korogwe imeweka mikakati ya kufanya Kampeni ya Chanjo ya Uviko -19 Nyumba kwa Nyumba ili kuwarahisishia Wananchi kupata Chanjo ya Uviko -19 kwa haraka zaidi. Mkakati huo ulipangwa wakati wa kikao kazi cha wadau wa afya ulioshirikisha wataalamu kutoka Vituo vya Afya vya Serikali pamoja na Vituo binafsi. Kikao hicho kilifanyika Septemba 27, mwaka huu katika ukumbi wa mikutano wa Hospitali ya Mji wa Korogwe (Magunga).

Kampeni ya Chanjo ya Uviko -19 katika Mji wa Korogwe itafanyika kwa Wiki Mbili, na tayari mchakato ulishaanza tokea Septemba 22, na itakwenda hadi  Oktoba 05, mwaka huu. Katika Kampeni hii, Halmashauri ya Mji wa Korogwe inatarajia kutoa Chanjo ya Uviko -19 takribani Elfu Moja na Hamsini (1050), na Chanjo itakayotolewa kwa Wananchi ni aina ya Janssen & Janssen. Baada ya Kampeni kumalizika huduma ya Chanjo ya Uviko -19 itaendelea kutolewa kama kawaida katika vituo vyote vya kutolea Chanjo.

“Kampenini hii itahusisha Mji wote wa Korogwe, na itakua nyumba kwa nyumba mpaka tuhakikishe tumetimiza malengo tuliojiwekea” alisema Dkt. Salma Sued ambaye ni Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe. Dkt. Sued alifafanua kuwa chanjo ya Uviko -19 ni salama kwa matumizi ya binadamu na haina athari yoyote. Aliendelea kufafanua zaidi kwa kusema “Chanjo hii imethibitishwa Kimataifa na Kitaifa hivyo Wananchi  wasiwe na hofu yoyote na wajitokeze kwa wingi katika vituo husika ili wapatiwe  Chanjo”.

“Katika Kampeni hii ya Chanjo ya Uviko -19 tutahakikisha tunayafikia  makundi yote ya watu popote yalipo” alisema Ndugu Seif Kibambe ambaye ni Mratibu wa Chanjo  katika Halmashauri ya Mji wa Korogwe  wakati wa kikao kazi cha kuweka mikakati ya utoaji wa Chanjo katika Mji wa Korogwe.

Kwaupande mwengine, Ndugu Seif aliainisha Vituo vitakavyotumika kutoa Chanjo ya Uviko -19 ikiwa ni pamoja na  Hospitali ya Mji wa Korogwe (Magunga), Kituo cha Afya Majengo, St. Raphael, na St. Joseph. Pia kuna Zahanati ya Msambiazi, Mtonga, Mgombezi, Kilole, Kwamdulu, Kwakombo, Kwamsisi, Kwamndolwa pamoja na Zahanati ya Mahenge. Katika Vituo hivi huduma za Chanjo zitatolewa kuanzia Saa Mbili asubuhi hadi Saa Kumi na na Moja Jioni.

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Halmashauri ya Mji wa Korogwe imepokea Chanjo na Vifaa wezeshi

    July 11, 2025
  • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi Halmashauri ya Mji wa Korogwe imepokea Chanjo ya Mifugo.

    July 10, 2025
  • Mkurugenzi wa Mji wa Korogwe atembelea Ujenzi wa Miradi ya Maendeleo.

    July 10, 2025
  • Serikali yatatua Changamoto ya Makazi kwa Watumishi wa Umma

    July 04, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.