• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Mji wa Korogwe wajenga vyoo vya kisasa

Posted on: November 24th, 2020

Mji wa Korogwe wajenga vyoo vya kisasa

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe akiambatana pamoja na Wakuu wa Idara ametembelea miradi wa ujenzi wa  matundu ya vyoo vya kisasa kwa ajili ya  shule mbalimbali za msingi. Ziara hiyo imefanyika Novemba 24, mwaka huu katika shule za Msingi zilizopo Mji wa Korogwe.

Halmashauri ya Mji wa Korogwe katika mwaka wa fedha 2020/2021 inatarajia kujenga matundu ya vyoo Hamsini na Tatu  (53) katika  shule  mbalimbali za msingi  kwa lengo la kupunguza changamoto  za matundu ya  vyoo zilizopo kwenye shule hizo. Ujenzi huo unatekelezwa  kwa kutumia fedha za ndani takribani Milioni Arobaini (40) pamoja na nguvu za wananchi.

“kwa kushirikiana na wananchi, Halmashauri  tutahakikisha tunamaliza kabisa changamoto ya matundu ya vyoo katika shule za msingi”  alisema Ndugu Nicodemus Bei ambaye ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe wakati wa ziara hiyo. Ndugu Bei alifafanua zaidi kwa kusema “miradi itakapokamilika  itakuwa ni faraja  kwa wanafunzi na kuwawezesha kusoma kwa furaha”

Nae Mhandisi Said Abuu ambaye ni Mhandisi katika Halmashauri ya Mji wa Korogwe na msimamizi wa miradi hiyo alifafanua kuwa Shule ambazo miradi tayari imekamilika ni pamoja na Shule ya Msingi Kilole matundu (8), Matondoro matundu (10), New Korogwe matundu (8), na Old Korogwe matundu (6).

Mhandisi Abuu aliendelea kufafanua kuwa shule ambazo ujenzi  unaendelea ni pamoja na  Shule ya Msingi Bagamoyo matundu (9), Kwamkole matundu (6) pamoja na  Kwamngumi matundu (6).   Kuhusu ukarabati wa matundu ya vyoo katika shule za msingi, Mhandisi Abuu alisema “ tayari tumeanza na Shule ya Msingi Mgombezi tukiifanyia ukarabati wa matundu ya vyoo kumi na nne (14)”.

Kwa upande mwingine,  Ndugu Kassimu Kaoneka ambaye ni Afisa Elimu Msingi katika Halmashauri ya Mji wa Korogwe  pamoja na Walimu Wakuu waliopata miradi hiyo wameishukuru Halmashauri kwa kutoa fedha pamoja wananchi kwa kuchangia  nguvu kazi ili kufanikisha miradi hiyo.

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Waratibu Elimu kata na Wali Wakuu wa Shule za Msingi za Mji wa Korogwe wajengewa uwezo wa usimamizi wa ufundishaji na Ujifunzaji.

    June 27, 2025
  • Mradi wa TACTIC kuimarisha Huduma za Usafirishaji kwa Miji 12 Tanzania.

    June 26, 2025
  • Halmashauri ya Mji wa Korogwe yaadhimisha Siku ya Wajane Duniani.

    June 23, 2025
  • Shule ya Msingi Kwamngumi yalima Hekari mbili za Mahindi

    June 19, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.