• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Mji wa Korogwe washiriki Kikao Kazi cha Maafisa Habari wa Serikali

Posted on: May 24th, 2021

Mji wa Korogwe washiriki Kikao Kazi cha Maafisa Habari wa Serikali 

Halmashaurri ya Mji wa Korogwe ikiwakilishwa na Afisa Habari wake Ndugu Jumanne Semagongo imeshiriki kikao kazi cha Maafisa Habari, Mawasiliano na Uhusiano wa Serikali. Kikao kazi hicho kimefunguliwa Mei 24 mwaka huu, na kitaendelea hadi Mei 28, Mkoani Mbeya katika ukumbi wa Chuo Kikuu cha Mbeya cha Sayansi na Teknolojia (MUST) ambapo mgeni rasmi alikuwa Mhe. Innocent Bashungwa ambaye ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo.

 Lengo kuu la kikao kazi hicho ni kutoa mafunzo pamoja na kubadilishana ujuzi juu ya utoaji wa taarifa bora kwa Wananchi kuhusu Miraadi ya Maendeleo inayotekelezwa na Serikli. Kauli Mbiu ya mwaka huu ni “Utoaji taarifa kwa Umma ni Takwa la Kisheria, Viongozi wa Umma na Maafisa Habari tuwajibike”.

“Serikali tunatambua umuhimu wa Maafisa Habari Serikalini, tutaendelea kuwathamini” alisema Mhe. Innocent Bashungwa ambaye ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo wakati wa ufunguzi wa Kikao kazi hicho cha Maafisa Habari wa Serikali. Nae Mhe. Puline Gekul ambaye ni Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo alisemaa “Wanahabari tufanye kazi kwa bidii katika kumsaidi Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan”.

Kwa upande mwengine Ndugu Profesa Riziki Shemdoe ambaye ni Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa pia alishiriki Kikao kazi cha Maafisa Habari wa Serikali kwa kuwa asilimia kubwa Maafisa Habari wa Serikali wanatoka kwenye Wizara yake.  Ndugu Profesa Shemdoe wakati wa ufunguzi wa Kikao kazi alitoa nasaha kwa Maafisa Habari wote  wa Serikali kwa kuseama “ Maafisa wa Habari tangazeni miradi ya Maendeleo inayotekelezwa na Serikali.”

Nao Maafisa wa Habati wa Serikali walioshirika kikao kazi cha mwaka huu Mkoani Mbeya waliishukuru Viongozi mbalilmbali wa Serikali kwa kushiriki ufunguzi wa Kikao kazi cha mwaka huu. Vilevile waliahidi kupokea pamoja na kufanyika kazi ushauri wote uliotolewa na Viongozi mbalimbali kwa lengo la kuboresha utoaji wa taarifa kwa Wananchi kuhusu Miradi ya Maendeleo inayotekelezwa na Serikali.

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Waratibu Elimu kata na Wali Wakuu wa Shule za Msingi za Mji wa Korogwe wajengewa uwezo wa usimamizi wa ufundishaji na Ujifunzaji.

    June 27, 2025
  • Mradi wa TACTIC kuimarisha Huduma za Usafirishaji kwa Miji 12 Tanzania.

    June 26, 2025
  • Halmashauri ya Mji wa Korogwe yaadhimisha Siku ya Wajane Duniani.

    June 23, 2025
  • Shule ya Msingi Kwamngumi yalima Hekari mbili za Mahindi

    June 19, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.