• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Mkuu wa Wilaya ya Korogwe ahimiza Ukusanyaji mapato uongezeke zaidi

Posted on: May 3rd, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Mh. William Mwakilema amewataka Madiwani kushirikiana na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe kuimarisha na kuongeza kasi ya ukusanyaji wa mapato ya Halmashauri. Mapato yakikusanywa vizuri na kusimamiwa kwa uweledi mkubwa hakika  Halmashauri itavuka lengo lililojiwekea. Mh. Mwakilema alitoa kauli hiyo wakati wa kikao cha Baraza la Madiwani kinachohitimisha kipindi cha Robo ya Tatu katika Mwaka wa Fedha 2024/2025. Baraza hilo lilifanyika Mei 02, Mwaka huu (2025) katika  Ukumbi wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe.

“Mkurugenzi kushirikiana na Madiwani pamoja na Wataalamu wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe tujitahidi kudhibiti miyanya ya upotevu wa mapato katika Halmashauri “alisema Mh. William Mwakilema ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Korogwe. Mh Mwakilema alifafanua kuwa mapato yakikusanywa kwa uadilifu na umakini itasaidia Halmashauri kujiendesha na kutekeleza miradi ya maendeleo kwani mapato ndiyo moyo wa Halmashauri.

Kwa upande mwingine Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe Mh. Francis Komba amesisitiza  ukusanyaji wa Mapato ni jukumu letu sote kuanzia Madiwani pamoja na Wataalamu hivyo tuongeze kasi ya ukusanyaji wa mapato ili Halmashauri iweze kujiendesha yenyewe .

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Viongozi wa vyama vya siasa watakiwa kuhamasisha wananchi wajitokeze kwa wingi katika zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura kwa awamu ya pili

    May 08, 2025
  • Mratibu wa Mikopo ya 10% Halmashauri ya Mji wa Korogwe afunga Mafunzo.

    May 06, 2025
  • Vikundi 9 vilivyoidhinishiwa kupata mikopo vyapatiwa mafunzo.

    May 03, 2025
  • Mkuu wa Wilaya ya Korogwe ahimiza Ukusanyaji mapato uongezeke zaidi

    May 03, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.