• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Serikali yafungua maduka ya dawa katika Mji wa Korogwe

Posted on: June 26th, 2020

Serikali yafungua maduka ya dawa katika Mji wa Korogwe

Halmashauri ya Mji wa Korogwe imefungua maduka mawili ya dawa za binadamu kwa lengo la kutoa huduma za  dawa zilizo na bei nafuu kwa wagonjwa waliopo hospitalini pamoja na wananchi wote kwa ujumla. Maduka hayo mawili yameanza kutoa huduma kuanzia mwezi Juni mwaka huu ambapo duka moja lipo katika Hospitali ya Mji wa Korogwe (Magunga) na duka jingine lipo katika Kituo cha afya cha Majengo.

Akizungumzia huduma za dawa zinazotolewa katika maduka hayo Ndugu Nicodemus Bei ambaye ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe alisema “kufunguliwa kwa maduka haya ya dawa ni muendelezo wa mikakati ya Serikali katika kuboresha huduma za afya kwa wananchi”. Ndugu Bei aliendelea kufafanua kuwa huduma za dawa zinazotolewa katika maduka ya Serikali zitakuwa bora na dawa zitauzwa kwa bei nafuu ukilinganisha na maduka mengine.

Nae Dr. Elizabeth Nyema ambaye ni Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe alisema “ maduka ya dawa ya serikali tuliyoyafungua katika Mji wa Korogwe yatasaidia kuwapatia wananchi huduma zenye uhakika na vilevile kuongeza mapato katika Halmashauri ya Mji wa Korogwe”. Kuhusu upatikanaji wa dawa kupitia Bima za afya, Dr. Nyema akifafanua kuwa maduka yote mawili yana mkakati wa kutoa dawa kwa kutumia Bima za afya za aina mbalimbali ingawa kwa sasa wameanza kutoa dawa kwa kutumia Bima ya Afya ya NHIF.

Kwa upande mwingine Dr. Herri ambaye ni Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Mji wa Korogwe (Magunga) na Dr. Samike ambaye ni Mganga Mfawidhi wa Kituo cha Afya cha Majengo walifafanua kuwa Maduka yote mawili ya dawa yatatoa dawa za magonjwa mbalimbali na huduma zitatolewa saa ishirini na nne (24) katika siku saba za wiki. Nae Bi. Halima Juma ambaye ni mteja aliyekuja kupata huduma za dawa katika duka la Majengo alisema “naipongeza Serikali kwa kufungua maduka ya dawa yanayotoa huduma kwa bei nafuu ukilinganisha na maduka mengine”.

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Halmashauri ya Mji wa Korogwe imepokea Chanjo na Vifaa wezeshi

    July 11, 2025
  • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi Halmashauri ya Mji wa Korogwe imepokea Chanjo ya Mifugo.

    July 10, 2025
  • Mkurugenzi wa Mji wa Korogwe atembelea Ujenzi wa Miradi ya Maendeleo.

    July 10, 2025
  • Serikali yatatua Changamoto ya Makazi kwa Watumishi wa Umma

    July 04, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.