• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

TARURA yatenga Shilingi Bilioni 1.8 ujenzi wa barabara Mji wa Korogwe

Posted on: February 3rd, 2023

TARURA yatenga Shilingi Bilioni 1.8 ujenzi wa barabara Mji wa Korogwe

Wakala wa Barabara za Mjini na Vijijini Wilaya ya Korogwe (TARURA) katika Mwaka wa fedha 2023/24 imetenga Bajeti ya Shilingi Bilioni 1.8 {Tsh. 1,889,600,000} kwa ajili ya Ujenzi wa Barabara zenye urefu wa Kilomita 48.3 katika Mji wa Korogwe. Bajeti hiyo ilitangazwa wakati wa Kikao cha Madiwani kilichofanyika Februari 03, Mwaka huu katika ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe.

“ Katika mwaka wa fedha 2023/24 TARURA  imejipanga vyema kufungu mtandao wa Barabara za Mji wa Korogwe katika kiwango cha Lami, Changarawe pamoja na Ujenzi wa Madaraja” alisema Bw. Godfrey Bwire ambaye ni Meneja wa TARURA Wilaya ya Korogwe. Bw. Bwire alifafanua kuwa Ujenzi wa Barabara hizo zitashusisha Barabara zilizopo katikati ya Mji pamoja na Barabara zilizopo pembeni ya Mji wa Korogwe.

“Natoa pongezi kwa TARURA kwa maandalizi mazuri ya Bajeti, Bajeti yao imegusa kila maeneo ya Mji wa Korogwe” alisema Mhe. Francis Komba ambaye ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe. Mhe. Komba alifafanua kuwa uboreshaji wa Barabara katika Mji wa Korogwe kutasaidia kuvutia Wawekezaji na kuufanya Mji wa Korogwe kuimarika kiuchumi.

Nae Bw.  Charles Salu ambaye ni Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilya ya Korogwe Mji alitoa pongezi kwa maendeleo mazuri ya Ujenzi wa Barabara katika  Mji wa Korogwe kwa kusema “pamoja na mtikisiko wa uchumi Duniani, Mama ( Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan) ameendelea kutoa fedha za Ujenzi wa Barabara. Chama cha Mapinduzi na Wananchi kwa ujumla tunampongeza sana”.

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Waratibu Elimu kata na Wali Wakuu wa Shule za Msingi za Mji wa Korogwe wajengewa uwezo wa usimamizi wa ufundishaji na Ujifunzaji.

    June 27, 2025
  • Mradi wa TACTIC kuimarisha Huduma za Usafirishaji kwa Miji 12 Tanzania.

    June 26, 2025
  • Halmashauri ya Mji wa Korogwe yaadhimisha Siku ya Wajane Duniani.

    June 23, 2025
  • Shule ya Msingi Kwamngumi yalima Hekari mbili za Mahindi

    June 19, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.