• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Waratibu Elimu kata na Wali Wakuu wa Shule za Msingi za Mji wa Korogwe wajengewa uwezo wa usimamizi wa ufundishaji na Ujifunzaji.

Posted on: June 27th, 2025

Afisa Elimu Awali na Msingi Halmashauri ya Mji wa Korogwe Bi. Sharifa Wanja amewataka Waratibu Elimu kata pamoja na Walimu Wakuu wa Shule za Msingi Halmashauri ya Mji wa Korogwe Kwenda kuunda Timu ya Ufuatiliaji wa Dhima, Dira na Misingi bora ya uendeshaji wa Shule zetu.  Bi. Sharifa Wanja ameyasema hayo kwenye  kufunga Mafunzo ya  Jumuiya za Kujifunza (JZK). Mafunzo hayo yaliendeshwa kwa muda wa Siku mbili kuanzia Juni 26, 2025 na kuhitimishwa Juni 27, 2025. Mafunzo hayo yalifungwa rasmi Juni 27, 2025 katika Ukumbi wa Shule ya Msingi New Korogwe.

Lengo kuu la Mafunzo ni kuwajengea uwezo Viongozi katika usimamizi wa Ujifunzaji na Ufundishaji kwa Maafisa  Elimu ngazi ya Halmashauri , Maafisa Elimu kata pamoja na Walimu wakuu wa Shule zote za Msingi zilizopo katika Halmashauri ya  Mji wa Korogwe.

 Sambamba na ufungaji wa Mafunzo ya Jumuiya za Kujifunza (JZK) Bi. Sharifa Wanja alitoa  Tathmini ya Matokeo ya  Mtihani wa Upimaji wa Darasa la Nne na Mtihani wa kumaliza Elimu ya Msingi wa  Darasala Saba k wa Mwaka 2024. Afisa Elimu Msingi alifafanua  kuwa  Halmashauri ya Mji wa Korogwe imeingia Kumi Bora kitaifa kwa Matokeo mazuri ya Darasa la saba kwa Mwaka 2024 na kupata Tuzo, hivyo akawaomba  Waratibu na Walimu wakuu kuwasimamia Walimu katika ufundishaji ili tusilewe sifa , nao Jumuiya ya Wazazi ya CCM Wilaya ya Korogwe Mjini haikuwa nyuma katika Pongezi hizo, wakatoa Cheti cha Pongezi kwa Bi. Sharifa Wanja ambaye ni Afisa Elimu Awali na Msingi Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Waratibu Elimu kata na Wali Wakuu wa Shule za Msingi za Mji wa Korogwe wajengewa uwezo wa usimamizi wa ufundishaji na Ujifunzaji.

    June 27, 2025
  • Mradi wa TACTIC kuimarisha Huduma za Usafirishaji kwa Miji 12 Tanzania.

    June 26, 2025
  • Halmashauri ya Mji wa Korogwe yaadhimisha Siku ya Wajane Duniani.

    June 23, 2025
  • Shule ya Msingi Kwamngumi yalima Hekari mbili za Mahindi

    June 19, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.