• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Kituo cha afya cha Majengo chaanzisha kliniki ya magojwa ya macho

Posted on: February 12th, 2020

Kituo cha afya cha Majengo chaanzisha kliniki ya magojwa ya macho

Kituo cha afya cha Majengo kilichopo katika Halmashauri ya Mji wa Korogwe kimeanzisha kliniki ya magojwa ya macho. Huduma za uchunguzi pamoja na matibabu ya macho katika kliniki hiyo imeanza kutolewa kunzia Februari 6, mwaka huu.

Akizungumzia kliniki hiyo, Ndugu Lucas Zimamoto ambaye ni Afisa muuguzi msaidizi anayehusika na matibabu ya macho alisema “kituo cha afya Majengo kimeanzisha kliniki ya magonjwa ya macho lengo kuu ni kuwasogezea wananchi huduma karibu baada ya huduma hii kupatikana sehemu moja ambapo ni Hospitali ya Mji wa Korogwe “.

Ndugu Zimamoto aliendelea kufafanua kuwa huduma zinazotolewa katika kliniki hiyo ni uchunguzi wa magojwa ya macho, utoaji wa dawa za macho, na upimaji wa miwani za macho. Huduma nyingine ni upasuaji wa mtoto wa jicho pamoja na utoaji wa uhauri kuhusu maswala mbalimbali ya macho.

Tokea kuanzishwa kwa kliniki hiyo, wagojwa takribani ishirini na saba (27) wameshapatiwa huduma mbalimbali za macho. Licha ya mafanikio yaliyopatikana kwa muda mchache, kliniki pia inampango wa kushirikiana na taasisi nyingine zinazojishughulisha na matibabu ya macho ili kufanya uchunguzi wa kina kwa wagonjwa pamoja na upasuaji wa mtoto wa jicho. Taasisi hizo ni pamoja na KCMC, Medwell, CBM na Sight Servers.

Kwa upande mwingine Bi. Jamila Khatibu ambaye anasumbuliwa na matatizo ya macho alisema kuwa anaishukuru kliniki ya macho iliyopo kituo cha afya Majengo kwani tokea apate huduma katika kliniki hii macho yake yameimarika vyema. Kuhusu siku za huduma, kliniki hutoa huduma kuanzia Jumatatu hadi Ijumaa. Huku kliniki ikifunguliwa kuanzia saa mbili asubuhi hadi saa kumi alasiri.

Nae Dkt. Elizabeth Nyema ambaye ni Mganga mkuu katika Halmashauri ya Mji wa Korogwe alisema “kufunguliwa kwa kliniki hii ya magojwa ya macho katika kituo cha afya Majengo ni mkakati wa kufikia malengo ya sera ya afya inayotaka kila kituo cha afya kutoa huduma za matibabu ya macho pamoja na kinywa “. Dkt. Nyema aliendelea kusisitiza kuwa kliniki imejipanga vizuri kuwapatia wananchi huduma bora ya macho.

Katika hatua nyingine, Bwana Gino Mbwilo ambaye ni Katibu wa afya katika Halmashauri ya Mji wa Korogwe alitoa ushauri kwa kusema “wananchi ni vizuri kuwahi hospitali pindi wanapopata dalili za magonjwa ya macho kabla ya tatizo kuwa kubwa “.

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Waratibu Elimu kata na Wali Wakuu wa Shule za Msingi za Mji wa Korogwe wajengewa uwezo wa usimamizi wa ufundishaji na Ujifunzaji.

    June 27, 2025
  • Mradi wa TACTIC kuimarisha Huduma za Usafirishaji kwa Miji 12 Tanzania.

    June 26, 2025
  • Halmashauri ya Mji wa Korogwe yaadhimisha Siku ya Wajane Duniani.

    June 23, 2025
  • Shule ya Msingi Kwamngumi yalima Hekari mbili za Mahindi

    June 19, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.