• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Kituo cha afya Majengo chaanza upasuaji

Posted on: October 18th, 2019

Kituo cha afya Majengo chaanza upasuaji 

Kituo cha afya Majengo katika Halmashauri ya Mji wa Korogwe kimeanza kutoa huduma za upasuaji huduma ambazo zilikuwa sikisubiriwa  kwa muda mrefu. Kwa mara ya kwanza upasuaji wa dharura wa mama mjamzito umefanyika Oktoba 16, mwaka huu katika chumba maalumu cha upasuaji kilichopo kituoni hapo.

Akizungumzia upasuaji huu, Dr. Kelvin Samike kiongozi wa jopo la madaktari alisema upasuaji ulifanywa na madaktari watatu wakisaidiwa na muuguzi mmoja pamoja na mtaalamu wa usingizi. Dr. Samike aliendelea kusema kuwa  walifanikisha vyema upasuaji na mjamzito alibahatika kupata mtoto wa kike. Kwa upande wa ndugu Leonard ambaye ni mtaalamu wa usingizi alisema kazi ya upasuaji ilifanywa kwa ufanisi mkubwa na kila kitu kilikwenda vyema.

Nae Easter Ugomba ambaye ni muuguzi aliyeshiriki katika mchakato wa upasuaji alifafanua kuwa upasuaji ulikwenda vizuri. Baada ya upasuaji kukamilika mama na mtoto waliwapatia kitanda wakiwa chini ya uangalizi wa madaktari na baada ya saa 24 kuona hali ya mama na mtoto imeimarika vyema waliwaruhusu kwenda nyumbani.

Kwa upande mwingine Dr. Elizabeth Nyema ambae ni Mganga mkuu wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe  alisema anafuraha kubwa kuona kwa sasa Kituo cha afya Majengo kinatoa huduma za upasuaji. Dr Nyema aliongeza kusema kuwa haya ni matunda baada ya kupata fedha za ukarabati kutoka Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa. Hata hivyo alisisitiza kuwa licha ya kuwa na huduma za upasuaji pia wanazo huduma nyingi nzuri  kituoni hapo.

 

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Waratibu Elimu kata na Wali Wakuu wa Shule za Msingi za Mji wa Korogwe wajengewa uwezo wa usimamizi wa ufundishaji na Ujifunzaji.

    June 27, 2025
  • Mradi wa TACTIC kuimarisha Huduma za Usafirishaji kwa Miji 12 Tanzania.

    June 26, 2025
  • Halmashauri ya Mji wa Korogwe yaadhimisha Siku ya Wajane Duniani.

    June 23, 2025
  • Shule ya Msingi Kwamngumi yalima Hekari mbili za Mahindi

    June 19, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.