• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Madiwani wa Mji wa Korogwe kuongeza nguvu katika ukusanyaji wa madeni

Posted on: August 5th, 2021

Madiwani wa Mji wa Korogwe kuongeza nguvu katika ukusanyaji wa madeni

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe Mhe. Francis Komba amewataka Madiwani wote wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe kuongeza nguvu katika ukusanyaji wa madeni kwenye Vikundi vya Wanawake, Vijana na Watu wenye ulemavu ambao walikopeshwa na  Halmashauri na fedha  hizo hawajerejesha kwa muda mrefu.

Mwenyekiti ametoa agizo hilo wakati wa Baraza la Madiwani la Papo kwa Papo la Robo ya Nne kwa Mwaka wa fedha 2020/2021 lililofanyika Agosti 5, mwaka huu katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe.

“Madiwani katika kila Kata nendeni mkasimamie ukusanyaji wa fedha kwenye vikundi vilivyokopa na havijarejesha fedha hizo”alisema Mhe. Francis Komba ambaye ni Diwani wa Kata ya Mtonga na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe. Mhe. Komba alifafanua kuwa fedha zinazodaiwa kwenye vikundi zitakaporejeshwa zitasaidi kukopeshwa vikundi vyengine ili nao waweze kunufaika na mikopo ya Halmashauri.

“Halmashauri tutaendelea kutekeleza miradi ya maendeleo mpaka tutakapohakikisha tumefikia malengo tuliyojiwekea” alisema Ndugu Nicodemus Bei ambaye ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe wakati wa Baraza hilo la Madiwani la Papo kwa Papo. Ndugu Bei alifafanua kuwa kwa sasa Halmashauri inaendelea na utekelezaji wa miradi ya  Elimu na Afya ili kuhakikisha wananchi wanapata huduma karibu na maeneo yao.

Kwa upande mwengine, Madiwani nao waliwasilisha taarifa za Kata zao wakiainisha mafanikio pamoja na changamoto zilizopo katika jamii zinazoitaji utatuzi. Nae Ndugu Fulgence Komba ambaye ni Katibu wa Mbunge wa Jimbo la Korogwe Mji Mhe Dr. Alfred Kimea alisema “nimefurahishwa na taarifa za Madiwani, taarifa zao ziko wazi na zenye kuleta matumaini kwa Wananchi” Ndugu Komba alisisitiza kuwa taarifa hizo za Madiwani zitasidia kuwa dira kwa Mwenyekiti wa Halmashauri, Mkurugezi pamoja na Mbunge katika kutatua kero za Wananchi.

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Waratibu Elimu kata na Wali Wakuu wa Shule za Msingi za Mji wa Korogwe wajengewa uwezo wa usimamizi wa ufundishaji na Ujifunzaji.

    June 27, 2025
  • Mradi wa TACTIC kuimarisha Huduma za Usafirishaji kwa Miji 12 Tanzania.

    June 26, 2025
  • Halmashauri ya Mji wa Korogwe yaadhimisha Siku ya Wajane Duniani.

    June 23, 2025
  • Shule ya Msingi Kwamngumi yalima Hekari mbili za Mahindi

    June 19, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.