• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Mji wa Korogwe wajipanga kukamilisha ujenzi wa zahanati mbili

Posted on: April 29th, 2021

Halmashauri ya Mji wa Korogwe katika mwaka wa fedha 2021/2022 imepanga kukamilisha ujenzi wa zahanati mbili ili kuimarisha huduma za afya kwa wananchi wa mji wa Korogwe.  Ujenzi wa Zahanati hizo utakaogharimu takribani Shilingi Milioni Mia Moja na Hamsini unajumuisha zahanati ya Kitifu iliyopo Kata ya Mgombezi pamoja na zahanati ya Kilole iliyopo Kata ya Kilole.

Mkakati wa ujenzi wa zahanati hizo ulitolewa katika Baraza la Madiwani la maswali ya hapo kwa hapo lililofanyika Aprili 29, mwaka huu katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe.

“Wataalamu mtusaidie kutatua changamoto cha miundominu katika Mji wa Korogwe” alisema Mhe. Francis Komba ambaye ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe na Diwani wa Kata ya Mtonga wakati akitoa nasaha kwa Wataalamu wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe pamoja na Taasisi nyingine za Serikali zenye jukumu la kutoa huduma za jamii wakati wa  Baraza la Madiwani la  maswali ya hapo kwa hapo.

Kwa upande mwingine, Bi. Bernadetha January ambaye ni Mchumi wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi alisema “katika mwaka wa fedha 2021/2022  Halmashauri tutahakikisha tunakamilisha ujenzi wa zahanati za Kitifu na Kilole ili wanachi wapate huduma za afya kwa karibu”. Nae Bi. Jamila Bakari ambaye ni Mwananchi wa Mji wa Korogwe aliyehudhuria kwenye Baraza la Madiwani la maswali ya hapo kwa hapo alisema “iwapo Serikali itakamilisha ujenzi wa zahanati mbili ilizoziahidi itasaidia kuboresha huduma za afya kwa  wananchi ”.

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Waratibu Elimu kata na Wali Wakuu wa Shule za Msingi za Mji wa Korogwe wajengewa uwezo wa usimamizi wa ufundishaji na Ujifunzaji.

    June 27, 2025
  • Mradi wa TACTIC kuimarisha Huduma za Usafirishaji kwa Miji 12 Tanzania.

    June 26, 2025
  • Halmashauri ya Mji wa Korogwe yaadhimisha Siku ya Wajane Duniani.

    June 23, 2025
  • Shule ya Msingi Kwamngumi yalima Hekari mbili za Mahindi

    June 19, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.