• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Mkurugenzi wa Mji wa Korogwe atembelea miradi ya maendeleo

Posted on: August 27th, 2020

Mkurugenzi wa Mji wa Korogwe atembelea miradi ya maendeleo

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe pamoja na Wakuu wa Idara, na Vitengo wametembelea miradi ya maendeleo ya elimu inayotekelezwa na Serikali ya wamu ya Tano chini ya Mh. Rais John Pombe Magufuli ikiwa ni utekelezaji wa ahadi ya Serikali katika kuwaletea wananchi maendeleo. Ukaguzi huo wa miradi umefanyika Agosti 25, mwaka huu katika maeneo mbalimbali ya Mji wa Korogwe.

Miradi hiyo ya uboreshaji wa elimu inaojulikana kama EP4R awamu ya nane ina thamani ya takribani Shilingi Milioni Mia Tisa. Ambapo utekelezaji wake unahusisha ujenzi wa miundombinu katika shule za Msingi kumi na moja pamoja na Shule tatu za Sekondari. Shule za Msingi ni pamoja na Manundu, Mbeza, Majengo, Boma, Zung’nat, Magunga, Kwasemangube, Kwamndolwa, Kilole, Kwamsisi na Msambiazi. Kwa upande wa Shule za Sekondari ni pamoja na Shule ya Wasichana ya Korogwe, Semkiwa pamoja na Kimweri.

Akizungumzia miradi hiyo Bi. Benadetha January ambaye ni Mchumi wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe akimuakilisha Mkurugezi alisema “miradi ya elimu tunayoitekeleza katika mwaka wa fedha 2020/2021 inahusisha ujenzi wa madarasa, mabweni pamoja na matundu ya vyoo”. Bi. January alifafanua kuwa miradi hiyo ikikamilika itasaidia kupunguza changamoto zilizopo katika shule za Msingi pamoja na Sekondari.

Nae Mhandisi Said Abuu pamoja na Mhandisi Fredy Mkondya ambao ni wahandisi wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe na ndio wasimamizi wa miradi hiyo walisema “miradi yote ya ujenzi wa madarasa, mabweni na matundu ya vyoo inakwenda vyema” Mhandisi Abuu alisisitiza kuwa mpaka kufikia mwezi Novemba mwaka huu miradi yote itakua imekamilika.

Kwa upande wa Afisa Elimu Sekondari Bi. Uria Ndelwa pamoja na Afisa Elimu Msingi Ndugu Kasimu Kaoneka walisema “miradi hii ya elimu itakapokamilika itasaidia kuboresha mazingira mazuri ya ufundishaji na kuchangia ongezeko la ufaulu katika shule zetu”

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Waratibu Elimu kata na Wali Wakuu wa Shule za Msingi za Mji wa Korogwe wajengewa uwezo wa usimamizi wa ufundishaji na Ujifunzaji.

    June 27, 2025
  • Mradi wa TACTIC kuimarisha Huduma za Usafirishaji kwa Miji 12 Tanzania.

    June 26, 2025
  • Halmashauri ya Mji wa Korogwe yaadhimisha Siku ya Wajane Duniani.

    June 23, 2025
  • Shule ya Msingi Kwamngumi yalima Hekari mbili za Mahindi

    June 19, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.