• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Mkuu wa Wilaya ya Korogwe asisitiza uwekezaji katika mkonge

Posted on: April 30th, 2021

Mkuu wa Wilaya ya Korogwe asisitiza uwekezaji katika  mkonge

Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Mhe. Kissa Gwakisa Kasongwa ameitaka Halmashauri ya Mji wa Korogwe kukamilisha kwa haraka kitalu cha mkonge  chenye ukubwa wa Hekari Kumi ikiwa ni mkakati wa Serikali kwa kila Halmashauri Mkoani Tanga kuandaa  eneo la Hekari kumi kwa ajili ya kitalu cha mkonge. Mhe. Kasongwa  Alitoa agizo hilo wakati wa Baraza la Madiwani lililofanyika Aprili 30, mwaka huu katika ukumbi wa mikutano  wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe.

 “Wataalamu wa kilimo tekelezeni agizo la kilimo cha mkonge kwa asilimia mia moja” Alisema Mhe. Kissa Gwakisa Kasongwa wakati akitoa ushauri kwa wataalamu wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe katika kuwekeza kwenye kilimo cha mkongwe. Nae Mhe. Francis Komba  ambaye ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe na ni Diwani wa Kata ya Mtonga alisema “agizo la Mheshimiwa  Mkuu wa Wilaya kuhusu kilimo cha mkonge tumelipokea na tutalifanyia kazi kwa asilimia Mia Moja”.

Nae Ndugu Nicodemus Bei ambaye ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe alisema “tayari tumeiandikia  barua Bodi ya Mkonge Tanzania kuomba eneo lenye ukubwa wa Hekari Mia Mbili  kwa ajili ya kilimo cha mkonge”. Ndugu Bei alifafanua zaidi kuwa mchakato wa kitalu cha cha mkonge chenye ukubwa wa Hekari Kumi umeshaanza na kitalu kipo jirani na Shule ya Msingi Kwamsisi  katika Kata ya Kwamsisi.

Kwaupande mwengine, Ndugu Abdul Nguzo ambaye ni Katibu wa Wazazi Jumuia ya Chama cha Mapinduzi Korogwe Mjini  alisema “ uongozi wa Chama Cha Mapinduzi katika Mji wa Korogwe tayari tumeshaanza kuhamasisha wananchi kuwekeza kwenye kilimo cha mkonge ili kujiongezea kipato na kuondokana na umaskini”.

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Waratibu Elimu kata na Wali Wakuu wa Shule za Msingi za Mji wa Korogwe wajengewa uwezo wa usimamizi wa ufundishaji na Ujifunzaji.

    June 27, 2025
  • Mradi wa TACTIC kuimarisha Huduma za Usafirishaji kwa Miji 12 Tanzania.

    June 26, 2025
  • Halmashauri ya Mji wa Korogwe yaadhimisha Siku ya Wajane Duniani.

    June 23, 2025
  • Shule ya Msingi Kwamngumi yalima Hekari mbili za Mahindi

    June 19, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.