• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Mkuu wa Wilaya ya Korogwe azindua Kampeni ya Bima ya CHF

Posted on: June 24th, 2021

Mkuu wa Wilaya ya Korogwe azindua Kampeni ya Bima ya CHF

Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Mhe. Alexander Mhando amezindua Kampeni ya undikishaji wa Wananchi katika Mfuko wa Bima ya Afya ya Jamii (CHF) iliyoboreshwa kwa wakazi wa Mji wa Korogwe. Kampeni hiyo imezinduliwa  Juni 24, Mwaka huu katika Viwanja vya Soko la Manundu.

“Tuendelee kujiunga katika mfuko wa bima ya afya ya jamii kwa faida yetu” alisema Mhe. Alexander Mhando wakati wa uzinduzi wa Kampeni ya uandikishaji wa Wananchi katika Bima ya Afya ya CHF iliyoboreshwa. Mhe. Mhando alifafanua kuwa itakuwa vizuri zaidi kila Mwananchi atayejiunga kwenye Bima ya Afya ya CHF akawe balozi kwa Wananchi wengine ili nao waweze kunufaika na Bima hiyo.

“Wananchi tujiunge kwa wingi katika bima ya CHF, hii bima gharama zake ni nafuu ukilinganisha na bima nyingine” alisema Bi. Charity Sichona ambaye ni Afisa Maendeleo ya Jamii katika Halmashauri ya Mji wa Korogwe anayemuwakilisha Mkurugenzi katika Uzinduzi wa  Kampeni ya Bima ya Afya ya CHF iliyoboreshwa.

Nae Mratibu wa Bima ya Afya ya CHF katika Halmashauri ya Mji wa Korogwe Ndugu Judith Kazimoto alifafanua kuwa gharama za kujiandikisha katika Bima ya Afya ya CHF kwa Kaya Moja ni Shilingi Elfu Thelathini kwa Mwaka na Kaya Moja itajumuisha Watu Watano. Ndugu Kazimoto aliendelea kufafanu kuwa huduma za kujiandikisha zitatolewa katika Ofisi zote za Watendaji wa Mitaa zilizopo Mji wa Korogwe.

 Kwa upande mwengine, Wananchi walijitokeza katika uzinduzi wa Kampeni ya Bima ya Afya ya CHF iliyoboreshwa walishukukuru Serikali na Wadau wa Afya kwaujumla  kwa Kuwapatia huduma ya Bima ya Afya kwa gharama nafuu.

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Waratibu Elimu kata na Wali Wakuu wa Shule za Msingi za Mji wa Korogwe wajengewa uwezo wa usimamizi wa ufundishaji na Ujifunzaji.

    June 27, 2025
  • Mradi wa TACTIC kuimarisha Huduma za Usafirishaji kwa Miji 12 Tanzania.

    June 26, 2025
  • Halmashauri ya Mji wa Korogwe yaadhimisha Siku ya Wajane Duniani.

    June 23, 2025
  • Shule ya Msingi Kwamngumi yalima Hekari mbili za Mahindi

    June 19, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.