• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Msimamizi wa uchaguzi Halmashauri ya Mji wa Korogwe amekutana na Viongozi wa Vyama vya Siasa

Posted on: September 20th, 2019

Msimamizi wa uchaguzi Halmashauri ya Mji wa Korogwe amekutana na Viongozi wa Vyama vya Siasa

Msimamizi wa uchaguzi Halmashauri ya Mji wa Korogwe Bwana Kasimu Kaoneka amekutana na viongozi wa vyama mbalimbali vya siasa  pamoja na wasimamizi wasaidizi  wa uchaguzi kwa lengo la kufahamiana vilevile kuelimishana kuhusu kanuni na sheria za uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika mwezi novemba mwaka huu.

 Mkutano huo ulifanyika septemba 18, katika ukumbi  wa mikutano wa wa Halmashauri ya Mji Korogwe. Katika mkutano huo Bwana Kaoneka aliambatana  na Afisa Uchaguzi wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe Bwana Charles Mtali wote kwa pamoja walitoa elimu ya uchaguzi wa serikali za mitaa huku wakisisitiza umuhimu wa kufuatwa kanuni na sheria za uchaguzi ili kuepukana na changamoto mbalimbali ambazo zinaweza kujitokeza.  

Bwana Mtali aliendelea kusema  kuwa uchaguzi huu utahusisha Vijiji pamoja na Mitaa  katika wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe yenye mitaa 22 na vitongoji 35 ambapo kutakuwa na jumla ya vituo 62 vya kuandikisha na kupiga kura.  Aliainisha eneo la Mitaa litakuwa lina vituo 27 na  eneo la Vijiji litakuwa na vituo 35.

Kwa upande mwingine Mwanasheria wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe ambaye pia ni msimsmizi msaidizi wa uchaguzi Ndugu Magdalena John, amewasishi viongozI wa vyama vya siasa na wasimamizi wa uchaguzi  kutumia kanuni na sheria za uchaguzi wa serikali za mitaa ili kuepuka kupotoshwa na watu wengine.

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Waratibu Elimu kata na Wali Wakuu wa Shule za Msingi za Mji wa Korogwe wajengewa uwezo wa usimamizi wa ufundishaji na Ujifunzaji.

    June 27, 2025
  • Mradi wa TACTIC kuimarisha Huduma za Usafirishaji kwa Miji 12 Tanzania.

    June 26, 2025
  • Halmashauri ya Mji wa Korogwe yaadhimisha Siku ya Wajane Duniani.

    June 23, 2025
  • Shule ya Msingi Kwamngumi yalima Hekari mbili za Mahindi

    June 19, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.