• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Wataalamu wa kilimo Wilaya ya Korogwe wakutana, waweka mikakati ya kilimo bora kuelekea uchumi wa viwanda

Posted on: December 10th, 2019

Wataalamu wa kilimo Wilaya ya Korogwe wakutana, waweka mikakati ya kilimo bora kuelekea uchumi wa viwanda

Wilaya  ya Korogwe imekutanisha wataalamu mbalimbali wa kilimo pamoja na wakulima  katika kuweka mikakati ya kilimo cha kisasa  ili kufikia malengo ya  uchumi wa viwanda hapa nchini.  Wadau  hawa wa kilimo walikutana Desemba 10, mwaka huu katika ukumbi wa mikutano uliopo katika Halmashauri ya Mji wa Korogwe.

Mkutano huu ulifunguliwa na Dkt. Elizabeth Nyema ambaye ni Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Mji Korogwe akimuwakilisha  Mkurugenzi  wa Mji.   Lengo la mkutano huu ni kuwaleta pamoja wadau wote wa kilimo katika Wilaya ya Korogwe ili kujadiliana pamoja na kuweka mikakati ya kuimarisha kilimo cha kisasa kuelekea uchumi wa viwanda hapa nchini.

Katika mkutano huo Dkt Nyema alifafanua kuwa katika kufikia malengo ya uchumi wa viwanda hapa nchini ni muhimu wakulima kuzalisha mazao bora ambayo yatasaidia kutupatia chakula pamoja na  malighafi katika kuzalisha bidhaa mbalimbali za viwandani.  Aliendelea kufafanua kuwa ili tupate mazao bora  ni muhimu kufuata kanuni za kilimo bora ikiwa ni pamoja na kuandaa mashamba kwa wakati, kuchagua mbegu bora, kupanda kwa wakati, kutumia mbolea  na dawa za kuulia wadudu vilevile kuvuna mazao kwa wakati.  

Nae Bwana Venance Ndunga ambaye ni wakala wa mbegu kutoka kampuni ya Seed – Co alisema “wakulima ni vyema kufahamu hali ya hewa ya eneo lao, hii itawasaidia kuchagua mbegu sahihi itakayowapatia mazao yenye tija”. Vilevile Ndugu Salehe Kombo  ambaye  ni mtaalamu wa kilimo kutoka taasisi ya TOSCI inayosimamia ubora wa mbegu za mazao  ilitoa ushauri kwa wauzaji wa mbegu kuwa ni muhimu kuhifadhi mbegu vizuri ili ziendelee kubaki na ubora wake hadi mkulima atakapochukua kwa ajili ya kupanda.

Kwa upande mwingine mdau wa kilimo Bwana Abdallah Issa alisema kuwa amefarijika kupata elimu ya kilimo bora, elimu hii itamsaidia kuzalisha mazao yenye tija, vilevilea amepata mbinu za kutosha ili  kukabiliana na wanyama waharibifu wa mazao.

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Waratibu Elimu kata na Wali Wakuu wa Shule za Msingi za Mji wa Korogwe wajengewa uwezo wa usimamizi wa ufundishaji na Ujifunzaji.

    June 27, 2025
  • Mradi wa TACTIC kuimarisha Huduma za Usafirishaji kwa Miji 12 Tanzania.

    June 26, 2025
  • Halmashauri ya Mji wa Korogwe yaadhimisha Siku ya Wajane Duniani.

    June 23, 2025
  • Shule ya Msingi Kwamngumi yalima Hekari mbili za Mahindi

    June 19, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.