Posted on: December 3rd, 2025
Baraza jipya la madiwani Halmashauri ya Mji Korogwe limeapishwa na kuanza rasmi majukumu yake 03/12/2025 katika ukumbi wa Halmashauri ya Mji Korogwe. Katika baraza hilo Mkurugenzi Bi. Zahara Msangi &n...
Posted on: November 29th, 2025
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Korogwe anawaalika wananchi wote wa Korogwe kwenye maadhimisho ya siku ya UKIMWI DUNIANI yatakayofanyika katika Zahanati ya Kwakombo iliyopo Kata ya Kwamsisi ...
Posted on: November 26th, 2025
Kamati ya uhakiki wa mikopo Wilaya yafanya ziara ya kuhakiki vikundi vinavyostahili kupewa mikopo inayotokana na asilimia 10 ya mapato ya ndani na fedha za marejesho ya vikundi kwa Halmashauri ya Mji ...